Njia nzuri ilikuwa bungeni. Lakini bahati mbaya nalo liko mfukoni na ndiko wanataka kwanza asifiwe.Nipeni ushauri namna bora ya kumkosoa Namba moja kistaraabu bila yy kukasilika na wapambe zake wakanitazama vizuri kama mzalendo Wa Taifa
Msisahau kunasheria ya mtandao,uchochezi nk.
Uyu no1 wa saivi ni matata ataki kusemwa sio km yule mzee wa msata alikua ana nomaUmenishauri niache Mkuu!!
Kuwa makini ukijichanganya inakula kwako na vile aujulikani ata atuta KujuAAsanteni kwa ushauri jmn
Hilo jitu lako ni litaahira!Kunasheria ya mtandao Mkuu,uchochezi unajua hata ww unhekuwa kiongozi huwezi kukubali kukosolewa kwa kudharirishwa mkuu
Ushawahi kuitwa kilaza??!!! Kilaza anaweza ishauri PhD feki....jifunze kwa Mkuu Ziro......Toa ushauri tu
Unajua hata sisi tungekuwa viongozi hatuwezi kukubari kukosolewa kwa kutukanwa ,kudharirishwa turejee ktk familia zetu hazina hata watu kumi!!!
Mfn Mke au mtoto akaoa maneno machafu
Mbona yeye anadhalilisha watanzania wenzake kila siku na haombi msamaha, kwanza ndio anajisifia. Mfano " Sinilikutukana kwenye simu pumbavu? Au unabisha?" Ikiwa mnayemtetea yeye anafanya hayo hayo, sielewi hao wengine nani anawatetea kwa kumwambia yeye kwamba nasi tunakereka na matusi yake?!Kunasheria ya mtandao Mkuu,uchochezi unajua hata ww unhekuwa kiongozi huwezi kukubali kukosolewa kwa kudharirishwa mkuu