Name 1 reason for your "single status"

Name 1 reason for your "single status"

Unamaanisha nini?? Hebu twende PM tukawekane sawa kwanza. Hiki kibaridi hakikubaliki.

LOh!! umerudi kutoka michepukoni mume wa ujana wangu. haya karibu tena mimi malkia nalikuwa nakusubiri siku zote.
 
kuwa singo c vibaya!!!! ni mipango tu!! ila kuwa double kuna lemaza akili!! trust it is real!!
 
kukosa uvumilivu na subira kwa wavulana ndo kumechangia niwe cngle.
now nko radhi hata miaka kumi nimsubiri mwanaume atokee co mvulana..!

Embu njoo pm tumalize hili tatizo
 
Kama Wewe Ni Mwanamke Na Unamiaka Kati Ya 22-35.Na Upo Single Au Hauna Mahusiano Yeyote Ya Kueleweka.Wewe Umekua Ni Mtu Tu Wa Kudanganywa danganywa Na Kutendwa Kila Siku.Au Umezalishwa Umeachwa.Basi Ujiue Kua Wewe Ni Mwanamke Mbovu Kati Ya Wabovu.Sema Hujijui Tu Na Unabakia Kutoa Visingizio.
 
hebu mlee mtoto wa watu huyo maana umejinadi mwenyewe hauhitaji msaada ila unajisaidia mwenyewe sasa msaidie huyo kijana roho yake ipone ha! Ha!

Hata siku moja, nitalea nyau nikirudi zangu home atanikaribisha na sauti ya nyau nyau, atasogea karibu yangu kunipa pole na kazi, ila binadamu binadamu loh! hata siku moja sirudii kosa aisee, yaani kamweeeeeeeeeeeee haitatokea .
 
Kwanza siku hizi bora ufuge nyau atakusaidia kukamata panya stoo kuliko binadamu uambulie fedheha na matusi lol.
My mzima wewe??? siku nyingi sijakutia machoni au ushabanwa na mario wa kimasai lafudhi yakipemba???????

Hahahaaa
umenchekesha na Wamasai wa zenji.
Ngoja nimalize kucheka.
 
Limbwata lishaisha? Kama vipi nilete jingine uniwekee. Nataka nikupende wewe pekee.

Nimeenda kwa mtaalamu kanionyesha kote ulikochepuka, kasema nimpe mil 10 akutulize ndio nilikuwa nakusubiri unipe nikakutengeze vizuri, maana naona sasa hivi utulivu F, hadi hii mimba niliyonayo inatishia kutoka kwa matendo yako, fanya kunipa hiyo hela nikampe mganga wangu ili roho initulie mie.
 
Nimeenda kwa mtaalamu kanionyesha kote ulikochepuka, kasema nimpe mil 10 akutulize ndio nilikuwa nakusubiri unipe nikakutengeze vizuri, maana naona sasa hivi utulivu F, hadi hii mimba niliyonayo inatishia kutoka kwa matendo yako, fanya kunipa hiyo hela nikampe mganga wangu ili roho initulie mie.

Nakutaka pia nakupenda pia.... mpenzi weee
 
Nifafanulie vyema maana ya walio single,coz kuna watu wengi wameoana na wanalala vyumba tofauti,na kuna wale wanaoishi pamoja na hawajafunga ndoa au ni wale wanaoishi wenyewe kama mtu mmoja mmoja?
 
Back
Top Bottom