huu ni ushauri mzuri my dear, usiache ndoa yako, sana sana utawapa wengine faida..nyie mchumie juani wenzio walie kivulini..ndio ilivyo..ukiondoka tu wengine watakuja tena bila aibu
we samehe na endelea na maisha ya ndoa..yuko wapi huyo mwanaume aliyetulia hapa duniani? labda ukamtolee sayari ya mars..hawa wote wanafanana tabia..ni kupiga moyo konde na kuendelea na safari..hiyo ni sawa na tairi ya gari kupata pancha njiani, unabadilisha tairi mnaendelea na safari..
sio wewe tu my dear, tuko wengi tuna matatizo kama hayo na bado tupo kwenye ndoa, cha muhimu huyo mwanaume aache sasa huo upuuzi wake ili muanze ukurasa mpya..
Mh!kumbe hii statement ilitokana na maisha halisi aisee:
The ONLY woman who knows where her man is all the time,is a WIDOW,the REST must shut up,sitdown & be STRONG ![/QUOTE]
whoooo, kazi ipo
Hapo kwenye Bold, ndipo tunakosea wanawake wengi, inaonyesha ulikuwa unafanya mambo mengi hapo nyumbani, wakati ni majukumu yake yeye, ukamdekeza pale alipokwambia hana pesa, kiasi akawa na pesa nyingi ambazo hazina kazi. Ninasema hivyo kwa sababu angekuwa na majukumu mengi kuanzia kutunza watoto, wazazi wake na mambo mengine asingekuwa na uwezo wa kuwa na vimada nje, na wala asingeweza kumlipia ada ya chuo huyo mwanamke mwingine.
Hiyo ni wewe umesababisha kuchukua na kufanya majukumu yasiyo yako, mwachie majukumu yake.
Ushauri
Usiondoke hapo nyumbani
Rudi chumbani kwako ila usimpe sakaramenti takatifu mpaka hasira zitakapokwisha kwa sababu ukiondoka tu unawapa upenyo hao vimada kuhamia hapo, na watoto watateseka sana.
hakikisha kuanzia Ada za watoto, matumizi yote ya hapo home yeye ndiye anafanya.
chochote kikitokea kama kinahusu pesa usigharamie kwa pesa zako msubiri aje umwambie zinatakiwa pesa.
ukifanya hayo atakuwa hawezi kupeleka pesa nje kwa sababu itakuwa haitoshi kutokana na matumizi ya hapo home kuzidi na wala hatoweza kumlipia ada ya chuo huyo kimada wake.
la mwisho sali sana kumuomba Mungu akutulize makali kwenye moyo wako, ukiona hasira penda kunywa maji .
Duuh hili jukwaa mara yangu ya kwanza kuhudhuria ...Sababu kubwa sipendi kuchafua moyo wangu..Lakini rafiki yangu akaniambia nipo selfish maana naipenda nafsi yangu kuliko wengine na kuwa kuna issues naweza saidia huku....
Well nimeona kuna watu wanahitaji msaada wa kiroho humu na ndilo lengo langu kubwa...
Ushauri kwa muathirika....
Umefanya vizuri kuja JF kulisema humu kuliko ungeenda kulisema mtaani maana watu huko mitaani wangekuongezea msongo wa mawazo badala ya kutatua shida...
Then inapokuja swala la ndoa; mimi nitakushauri ki-kristo maana miye mkristo na pia mwana ndoa. Shida kubwa ya ndoa ni mwanzo wa ndoa yenyewe. Je msingi ulikuwa katika urafiki wa kidunia ama ulihusisha imani?
Ndoa zote kwa uzoefu wangu ambao msingi wake ni macho (kuvutiwa na mwana ndoa) lazima zipigwe na mawimbi makubwa baada ya mwili kuchoka/zoea vile vivutio na hii hupelekea ndoa zote za jinsi hii kwa ambao wanakubaliana na mioyo yao na ukweli wa miili yao lazima watoke nje. Uzuri ni kuwa wengi wanaweza tunza siri (kuiheshimu ndoa) na wale wasio na heshima huamua kuweka wazi. Kwahiyo sijapata ona ndoa yoyote ambayo msingi wake si imani (wakristo, hindu uisilamu haijalishi lakini wanaamini katika dhambi na kweli wanaamini siyo wanajidai kuamini) wenzi wakawa waaminifu.
Lakini ndoa yoyote ambapo wanandoa wamemwamini Mungu asilimia 100 huwezi ona watu wakatoka nje...Lakini wale ambao hawana nguvu ya ziada watakuwa wanaishi kwa tabu mno maana miili yao itawasumbua sana....Hawa mara nyingi ni wakali mno ama anaweza kuwa na tabia ya ajabu ajabu ambayo inaonyesha wazi yuko frustrated.
Lakini kuna wale ambao wamejazwa roho mtakatifu...na hasa kama tangu awali waliishi katika maisha hayo hao ndoa kwao ni krismas na wanashangaa kusikia kwamba kuna watu wanatoka nje maana hawaelewi sababu ya mtu kwenda nje. Pia wapo ambao hawakuwa katika misingi ya kuamini lakini baadaye wakaajaliwa na kuamini hao watapata misuko suko kwakipindi kifupi na baadaye wataimarika na kuijenga ndoa yao ambayo itakuwa na amani na starehe ya ajabu.
Turudi kwenye tatizo lako...Kama ni mkristo najua jinsi ya kukusaidia; lakini kama ni imani tofauti neema ya Mungu iwe juu yako...Lakini ninachokuambia ukikizingatia utakuja na ushuhuda hapa.
Kitu cha kwanza samehe yote na jiambiye mwenyewe dhambi si uzinzi tu hata mwongo pia ni mtu mbaya kama alivyo mwizi ama mchoyo...Hii haiji mapema ili ukidhamiria baadaye kwa neema ya mungu uchungu utaondoka ndani mwako hasa kama utapenda kusali kuomba neema ya kusamehe. Omba neema ya kusamehe na Mungu ana jinsi ya kusaidia msamaha utoke ndani ya moyo wako na itategemea umejiachilia kiasi gani. Usipo samehe niadhabu kwako maana hutakaa ufurahiye maisha na shetani alivyombaya huyo mumeo ndiyo atakuwa sababu ya wewe kutofurahi maana atahakikisha haendi mbali na upeo wa macho yako ili wewe uendelee kuteseka moyoni.
Then baada ya sala ya kuomba uweze kusamehe tafuta kitu kizuri kimoja mumeo amewahi kukufanyia tangu muowane na kumbukia ocassion zote alizowahi kukupa raha mpaka ukaweza kukataa umbeya wa hao wapambe..Then kila siku fikiria hayo kipe muda wa kufikiria na omba Mungu akusaidie uweze kurudia hayo maisha...Once in a while utashangaa mumeo anaanza kurudi kwako na hutaweza kubali uvunje hiyo ndoa utapenda uongee naye na kwakua umemshirikisha Mungu utashangaa Mungu ataweka maneno ya tiba ndani ya kinywa cha mumeo na upendo wake kwako utakuwa maradufu....Experience utakayo toka nayo baada ya wewe kurudiana na mumeo hayo mambo ya kuzaa nje utaona kama vile pia ilikuwa ni njia ya wewe ku-enjoy ndoa yako maana this time mumeo atakuwa mtamu na mpenzi zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.
Haya yanawezekana kama tu utaamua kuipeleka kesi yako kwa Mungu na kufuata niliyokueleza...Haijalishi wewe ni mkristo ama dini nyingine Mungu anasikia kila mtu..Ila matokeo yakitokea ujue kuwa Mungu wa ki-kristo ndiye aliyetenda haya yote.
Barikiwa na bwana na sasa naomba neema ya Mungu juu ya maisha yako. Naachilia upako wa ndoa ya amani na ya starehe kama ilivyo ile ya kwangu ambayo Mungu mwenyewe kwa neema yake ameifanya kuwa hivyo na wala si nguvu wala uwezo wangu mimi. AMINA!
Duuh hili jukwaa mara yangu ya kwanza kuhudhuria ...Sababu kubwa sipendi kuchafua moyo wangu..Lakini rafiki yangu akaniambia nipo selfish maana naipenda nafsi yangu kuliko wengine na kuwa kuna issues naweza saidia huku....
Well nimeona kuna watu wanahitaji msaada wa kiroho humu na ndilo lengo langu kubwa...
Ushauri kwa muathirika....
Umefanya vizuri kuja JF kulisema humu kuliko ungeenda kulisema mtaani maana watu huko mitaani wangekuongezea msongo wa mawazo badala ya kutatua shida...
Then inapokuja swala la ndoa; mimi nitakushauri ki-kristo maana miye mkristo na pia mwana ndoa. Shida kubwa ya ndoa ni mwanzo wa ndoa yenyewe. Je msingi ulikuwa katika urafiki wa kidunia ama ulihusisha imani?
Ndoa zote kwa uzoefu wangu ambao msingi wake ni macho (kuvutiwa na mwana ndoa) lazima zipigwe na mawimbi makubwa baada ya mwili kuchoka/zoea vile vivutio na hii hupelekea ndoa zote za jinsi hii kwa ambao wanakubaliana na mioyo yao na ukweli wa miili yao lazima watoke nje. Uzuri ni kuwa wengi wanaweza tunza siri (kuiheshimu ndoa) na wale wasio na heshima huamua kuweka wazi. Kwahiyo sijapata ona ndoa yoyote ambayo msingi wake si imani (wakristo, hindu uisilamu haijalishi lakini wanaamini katika dhambi na kweli wanaamini siyo wanajidai kuamini) wenzi wakawa waaminifu.
Lakini ndoa yoyote ambapo wanandoa wamemwamini Mungu asilimia 100 huwezi ona watu wakatoka nje...Lakini wale ambao hawana nguvu ya ziada watakuwa wanaishi kwa tabu mno maana miili yao itawasumbua sana....Hawa mara nyingi ni wakali mno ama anaweza kuwa na tabia ya ajabu ajabu ambayo inaonyesha wazi yuko frustrated.
Lakini kuna wale ambao wamejazwa roho mtakatifu...na hasa kama tangu awali waliishi katika maisha hayo hao ndoa kwao ni krismas na wanashangaa kusikia kwamba kuna watu wanatoka nje maana hawaelewi sababu ya mtu kwenda nje. Pia wapo ambao hawakuwa katika misingi ya kuamini lakini baadaye wakaajaliwa na kuamini hao watapata misuko suko kwakipindi kifupi na baadaye wataimarika na kuijenga ndoa yao ambayo itakuwa na amani na starehe ya ajabu.
Turudi kwenye tatizo lako...Kama ni mkristo najua jinsi ya kukusaidia; lakini kama ni imani tofauti neema ya Mungu iwe juu yako...Lakini ninachokuambia ukikizingatia utakuja na ushuhuda hapa.
Kitu cha kwanza samehe yote na jiambiye mwenyewe dhambi si uzinzi tu hata mwongo pia ni mtu mbaya kama alivyo mwizi ama mchoyo...Hii haiji mapema ili ukidhamiria baadaye kwa neema ya mungu uchungu utaondoka ndani mwako hasa kama utapenda kusali kuomba neema ya kusamehe. Omba neema ya kusamehe na Mungu ana jinsi ya kusaidia msamaha utoke ndani ya moyo wako na itategemea umejiachilia kiasi gani. Usipo samehe niadhabu kwako maana hutakaa ufurahiye maisha na shetani alivyombaya huyo mumeo ndiyo atakuwa sababu ya wewe kutofurahi maana atahakikisha haendi mbali na upeo wa macho yako ili wewe uendelee kuteseka moyoni.
Then baada ya sala ya kuomba uweze kusamehe tafuta kitu kizuri kimoja mumeo amewahi kukufanyia tangu muowane na kumbukia ocassion zote alizowahi kukupa raha mpaka ukaweza kukataa umbeya wa hao wapambe..Then kila siku fikiria hayo kipe muda wa kufikiria na omba Mungu akusaidie uweze kurudia hayo maisha...Once in a while utashangaa mumeo anaanza kurudi kwako na hutaweza kubali uvunje hiyo ndoa utapenda uongee naye na kwakua umemshirikisha Mungu utashangaa Mungu ataweka maneno ya tiba ndani ya kinywa cha mumeo na upendo wake kwako utakuwa maradufu....Experience utakayo toka nayo baada ya wewe kurudiana na mumeo hayo mambo ya kuzaa nje utaona kama vile pia ilikuwa ni njia ya wewe ku-enjoy ndoa yako maana this time mumeo atakuwa mtamu na mpenzi zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.
Haya yanawezekana kama tu utaamua kuipeleka kesi yako kwa Mungu na kufuata niliyokueleza...Haijalishi wewe ni mkristo ama dini nyingine Mungu anasikia kila mtu..Ila matokeo yakitokea ujue kuwa Mungu wa ki-kristo ndiye aliyetenda haya yote.
Barikiwa na bwana na sasa naomba neema ya Mungu juu ya maisha yako. Naachilia upako wa ndoa ya amani na ya starehe kama ilivyo ile ya kwangu ambayo Mungu mwenyewe kwa neema yake ameifanya kuwa hivyo na wala si nguvu wala uwezo wangu mimi. AMINA!
Umenichekesha sana hapo kwenye bold....
Makungwi ndio watakwambia ooh mpelekee maji ya kuoga...mpikie; atotoka nje...usipofanya hivyo basi akitoka nje akakuta hizo huduma harudi....
Mi ndo kwanza maji ya kunywa namuomba yeye. Lol. honey nimechoka maji please. Hizo formular za kujipendekeza wala haziwork dear.
Tooo theoreticalDuuh hili jukwaa mara yangu ya kwanza kuhudhuria ...Sababu kubwa sipendi kuchafua moyo wangu..Lakini rafiki yangu akaniambia nipo selfish maana naipenda nafsi yangu kuliko wengine na kuwa kuna issues naweza saidia huku....
Well nimeona kuna watu wanahitaji msaada wa kiroho humu na ndilo lengo langu kubwa...
Ushauri kwa muathirika....
Umefanya vizuri kuja JF kulisema humu kuliko ungeenda kulisema mtaani maana watu huko mitaani wangekuongezea msongo wa mawazo badala ya kutatua shida...
Then inapokuja swala la ndoa; mimi nitakushauri ki-kristo maana miye mkristo na pia mwana ndoa. Shida kubwa ya ndoa ni mwanzo wa ndoa yenyewe. Je msingi ulikuwa katika urafiki wa kidunia ama ulihusisha imani?
Ndoa zote kwa uzoefu wangu ambao msingi wake ni macho (kuvutiwa na mwana ndoa) lazima zipigwe na mawimbi makubwa baada ya mwili kuchoka/zoea vile vivutio na hii hupelekea ndoa zote za jinsi hii kwa ambao wanakubaliana na mioyo yao na ukweli wa miili yao lazima watoke nje. Uzuri ni kuwa wengi wanaweza tunza siri (kuiheshimu ndoa) na wale wasio na heshima huamua kuweka wazi. Kwahiyo sijapata ona ndoa yoyote ambayo msingi wake si imani (wakristo, hindu uisilamu haijalishi lakini wanaamini katika dhambi na kweli wanaamini siyo wanajidai kuamini) wenzi wakawa waaminifu.
Lakini ndoa yoyote ambapo wanandoa wamemwamini Mungu asilimia 100 huwezi ona watu wakatoka nje...Lakini wale ambao hawana nguvu ya ziada watakuwa wanaishi kwa tabu mno maana miili yao itawasumbua sana....Hawa mara nyingi ni wakali mno ama anaweza kuwa na tabia ya ajabu ajabu ambayo inaonyesha wazi yuko frustrated.
Lakini kuna wale ambao wamejazwa roho mtakatifu...na hasa kama tangu awali waliishi katika maisha hayo hao ndoa kwao ni krismas na wanashangaa kusikia kwamba kuna watu wanatoka nje maana hawaelewi sababu ya mtu kwenda nje. Pia wapo ambao hawakuwa katika misingi ya kuamini lakini baadaye wakaajaliwa na kuamini hao watapata misuko suko kwakipindi kifupi na baadaye wataimarika na kuijenga ndoa yao ambayo itakuwa na amani na starehe ya ajabu.
Turudi kwenye tatizo lako...Kama ni mkristo najua jinsi ya kukusaidia; lakini kama ni imani tofauti neema ya Mungu iwe juu yako...Lakini ninachokuambia ukikizingatia utakuja na ushuhuda hapa.
Kitu cha kwanza samehe yote na jiambiye mwenyewe dhambi si uzinzi tu hata mwongo pia ni mtu mbaya kama alivyo mwizi ama mchoyo...Hii haiji mapema ili ukidhamiria baadaye kwa neema ya mungu uchungu utaondoka ndani mwako hasa kama utapenda kusali kuomba neema ya kusamehe. Omba neema ya kusamehe na Mungu ana jinsi ya kusaidia msamaha utoke ndani ya moyo wako na itategemea umejiachilia kiasi gani. Usipo samehe niadhabu kwako maana hutakaa ufurahiye maisha na shetani alivyombaya huyo mumeo ndiyo atakuwa sababu ya wewe kutofurahi maana atahakikisha haendi mbali na upeo wa macho yako ili wewe uendelee kuteseka moyoni.
Then baada ya sala ya kuomba uweze kusamehe tafuta kitu kizuri kimoja mumeo amewahi kukufanyia tangu muowane na kumbukia ocassion zote alizowahi kukupa raha mpaka ukaweza kukataa umbeya wa hao wapambe..Then kila siku fikiria hayo kipe muda wa kufikiria na omba Mungu akusaidie uweze kurudia hayo maisha...Once in a while utashangaa mumeo anaanza kurudi kwako na hutaweza kubali uvunje hiyo ndoa utapenda uongee naye na kwakua umemshirikisha Mungu utashangaa Mungu ataweka maneno ya tiba ndani ya kinywa cha mumeo na upendo wake kwako utakuwa maradufu....Experience utakayo toka nayo baada ya wewe kurudiana na mumeo hayo mambo ya kuzaa nje utaona kama vile pia ilikuwa ni njia ya wewe ku-enjoy ndoa yako maana this time mumeo atakuwa mtamu na mpenzi zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma.
Haya yanawezekana kama tu utaamua kuipeleka kesi yako kwa Mungu na kufuata niliyokueleza...Haijalishi wewe ni mkristo ama dini nyingine Mungu anasikia kila mtu..Ila matokeo yakitokea ujue kuwa Mungu wa ki-kristo ndiye aliyetenda haya yote.
Barikiwa na bwana na sasa naomba neema ya Mungu juu ya maisha yako. Naachilia upako wa ndoa ya amani na ya starehe kama ilivyo ile ya kwangu ambayo Mungu mwenyewe kwa neema yake ameifanya kuwa hivyo na wala si nguvu wala uwezo wangu mimi. AMINA!
Tooo theoretical
Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.
Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.
Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.