Namchukia sana mume wangu!

sasa kwanini umehama chumba, nakushauri kitu kigumu sana, narudia kitu kigumu maana najua kama huna moyo wa Ujasiri hutaweza, nasema hivi, RUDI CHUMBANI KWAKO, MPENDE MUMEO, MPE CHAKULA CHAKE MLE WOTE maana kwa kufanya hivyo utamuumiza sana yeye, atajiona mjinga, atajutia japo hata seamu ya ma kwa sauti ila vitendo vitadhihirisha. <br><br>Kwa kutengana nae ndio umempa sababu ya kuendeleza ujinga wake, una risk maisha yake na ya kwako pia, nielewe Mama ni ngumu lakini badala ya kumchukia wewe jitahidi kumpenda, muulize tatizo ni nini, inaweza kukusaidia ila kumbuka wanadamu ni WAFARIJI WATAABISHAJI, nitaku=PM tushauriane vizuri
. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
 
Kabla ya kumtendea hivyo, jiulize wewe umefanya nini kumsaidia asitoke nje? Mara ngapi ulimuombea tena kwa siri bila yeye kujua? Mara ngapi ulikaa naye kumuonya kwa upendo kuwa unayafahamu anayoyafanya na kwamba anaidhalilisha familia? Mpwa wanaume tu dhaifu sana mbele ya wanaume, na huwa nalazimika kuamini kuwa MUNGU alimuumba mwanamke si kiumbe dhaifu kama watu wanavyodai but kiumbe mwenye nguvu za asili.....mtupende, kuweni wacheshi kwa waume zenu, punguzeni visirani majumbani kwenu, mmmh haya bhana
. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
 
mnaosema amsamehe...magonjwa jamani...huyo mwanaume ni malaya tu excuse my language....
mie nakushauri omba talaka yako,mgawane mali mlizochuma pamoja,mahakamani atapewa kiasi chake cha kugharamia watoto kwa kuwa una kazi sioni kwa nini maisha yakushinde,hayo maisha ya kupretend utakufa kwa kihoro bure na siku akileta mtoto wa tatu je????????mnh its not healthy
 
Pole sana tundatamu kwa maumivu unayopata! Maana alicho fanya mumeo ni kosa. Lazima ni kuulize kama bado unampend au laha!

Huamuzi wa kuhama chumba ni kutaka kuvunja ndoa maana pia unampa nafasi mmeo kuendelea kutoka nje!

Pia kama unataka mumeo ahame ni sawa na kuhitaji kuvunja ndoa ua separatio, kama ni hivyo ni bora kufata taratibu za kisheria ili kudai talaka!

Lakini kama unaweza kukaa na mumeo mkayamaliza siyo mbaya ili muweze kulea watoto wenu na pia kumaliza hilo deni kwa Amani!

Si kushauri sana kufanya separation.
Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.

Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.

Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.
 
Last edited by a moderator:
tatizo ni kuwa wewe unaumia lakini yeye haumii. PUnguza jazba ili usiumue zaidi. zungumza naye kuhusu hali nzima na umtake atoe mawazo yake kuhusu nini kifanyike. baada ya hapo uje tena utujuze tukushauri
 
pole sana...... Namuunga mkono hakuna kuhama nyumba.... Wa kuokoa ndoa hiyo ni mume aache kuchovyachovya itanasa au mpaka aone mkewe kaipua mali mpya ndo atakituliza??????

Mijanaume inajuaga kweli kuharibu furaha ya nyumba
 
ungekuwa huumii ningekushauri ubanane hapo hapo maisha yasonge,mbona bibi na babu zetu wengine hawakulala chumba kimoja??,..yeye kama umehama chumba na hajameki efforts kukuuliza au kutaka mpatane guess what dont bother either maana ndoa yenu imekufa.....its time to move on girl
 
loh leo niko kwenye mafungo sina la kusema....natafuta upako mwenzio..
Mhhhhhhhhh! Alichokiunganisha Mungu Binadamu na Asikitenganishe!!!!!!! Nitarudi, ngoja nijicosult kwanza kwenda kinyume na bible!!!!!!

Sister Ciello ushauri wako unahitajika huku!
 
. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.

JAMAN MIMI UWA NAAMINI C WANAUME TNADHULUMIWA SANA KWANI NAAMINI MEN ARE POLYGAM IN NATURE, WENG TNAYAFANYA AYA ILA KWA SIRI KUBWA ASA UPENDO UNAPOPUNGUA MAJUMBANI KWETU, PIA TZINGATIE IMANI ZA DINI, WE MOSLEM WAKIZID WA4 APO SASA UNATENDA DHAMBI ILA B4 KIASI ICHO HEKIMA IKUONGOZE DHIDI YA HAO WAKE ZAKo,
 
Dada pole sana kwa yaliokukuta
Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.

Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.

Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.
 
Nashindwa kukushauri lakini kuacha chumba kwa ajili ya Mume kuwa na watoto wa nje ni wivu ambao utaisha tu
Kuna Makabila na DINI nyingine hicho kitu kinaruhusiwa sasa huyo rafiki yako km hakulelewa katika maadili ya namna hiyo ikimtokea anaona ajabu na anaweza hata kujidhuru, mwambie atulize moyo na siige tabia ya kulipiza kisasi, atunze heshima yake na amrudie mumewe, walikuwepo kina Ibrahim, Noah,Daud, Mfalme Suleimani na wengineo wake zao hawakufanya hasira hizo
 
mnaosema amsamehe...magonjwa jamani...huyo mwanaume ni malaya tu excuse my language....
mie nakushauri omba talaka yako,mgawane mali mlizochuma pamoja,mahakamani atapewa kiasi chake cha kugharamia watoto kwa kuwa una kazi sioni kwa nini maisha yakushinde,hayo maisha ya kupretend utakufa kwa kihoro bure na siku akileta mtoto wa tatu je????????mnh its not healthy
Bush Lawyer.
 
Mwambie atulize moyo tuh,wakae chini wazungumze,,sasa anamkimbia mume na keshazalishwa watoto watatu wote hao nani atamuoa yeye??

Besides wanaume tunafanana tabia,,hayo yanarekebishika tuh
 
. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
African men full of drama
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom