White men will heal you honey .Ebu sikiliza mwimbo wa London rain by Nova .bora kubaki single girl eeehh!!! mambo yanatisha ati.
White men will heal you honey .Ebu sikiliza mwimbo wa London rain by Nova .bora kubaki single girl eeehh!!! mambo yanatisha ati.
Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.
Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.
Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.
Hire a hit men.african men are deadbeat .Mhhhhhhhhh! Alichokiunganisha Mungu Binadamu na Asikitenganishe!!!!!!! Nitarudi, ngoja nijicosult kwanza kwenda kinyume na bible!!!!!!
Sister Ciello ushauri wako unahitajika huku!
. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
Don't be suprised if you end up hiring an undercover, you will turn your life up side down!.Hire a hit men.african men are deadbeat .
mie sijui ila akienda ustawi wa jamii atasaidiwa nadhani kuhusu swala la kugharamia watoto,mali walizochuma pamoja etc....
Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.
Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.
Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.
Women!! so wonderful, wewe unakuwa wa mwisho kumwona mnapoenda kulala na wa kwanza kumwona mnapoamka, je hao ambao amezaa nao tu wanakula kwa wizi unafikiri wanajiskiaje?
"..Mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake mwenyewe"!
My dear when love dies life continues. Cha mana ni kusamehe na kuendelea na Maisha yako na wanao asikuharbie kabisa Siku, jitahidi upendeze ajute.
mie sijui ila akienda ustawi wa jamii atasaidiwa nadhani kuhusu swala la kugharamia watoto,mali walizochuma pamoja etc....
Toka muda napita na kurudi. Ngoja nipite tena nisije nikakushauri utafute small house na wewe buree!
hahahahahahahahhahahahahah......There are currently 89 users browsing this thread. (26 members and 63 guests)
African men full of drama