Namchukia sana mume wangu!

Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.

Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.

Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.

Pole bidada kwa mtihani huu, jipe muda utafakari kwa mapana na marefu kuhusu hili, wala usikurupuke kufanya maamuzi, Pole sana mwanakwetu
 
Mhhhhhhhhh! Alichokiunganisha Mungu Binadamu na Asikitenganishe!!!!!!! Nitarudi, ngoja nijicosult kwanza kwenda kinyume na bible!!!!!!

Sister Ciello ushauri wako unahitajika huku!
Hire a hit men.african men are deadbeat .
 
Last edited by a moderator:
Umenichekesha sana hapo kwenye bold....

Makungwi ndio watakwambia ooh mpelekee maji ya kuoga...mpikie; atotoka nje...usipofanya hivyo basi akitoka nje akakuta hizo huduma harudi....

Mi ndo kwanza maji ya kunywa namuomba yeye. Lol. honey nimechoka maji please. Hizo formular za kujipendekeza wala haziwork dear.


. Mmmmmmmmmmmmmmh natamani nione hayo unayo MP maana mimi mwenyewe yalinikuta nilisamehe ila kila nikikumbuka hata kuhangaika kumpikia,viherehere vyote vimeniisha hata akiomba maji ya kunywa au juice namtuma mtoto ingawa zamani nilikuwa nafanya mwenyewe, wanaume ningekupewa uwezo na Mungu wa kuwaadabisha japo dk 10 wange............... wanaendekeza sana ngono.
 
My dear when love dies life continues. Cha mana ni kusamehe na kuendelea na Maisha yako na wanao asikuharbie kabisa Siku, jitahidi upendeze ajute. Ila endelea kukaa kwako
 
Women!! so wonderful, wewe unakuwa wa mwisho kumwona mnapoenda kulala na wa kwanza kumwona mnapoamka, je hao ambao amezaa nao tu wanakula kwa wizi unafikiri wanajiskiaje?
"..Mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake mwenyewe"!


Jamani nilimpenda sana mume wangu, niliijali familia yangu,nilijitahidi kufanya majukumu yangu kama mke na mama kwa furaha kwa ajili ya familia yangu, naheshimu ndoa yangu, niliwachukia watu waliokua walioniletea umbea kuwa mume wangu hajatulia,maana kila nikimuuliza alinijibu ukisikiliza ya watu utaharibu nyumba yetu.nikachagua kumuamini mume badala ya watu,mwezi wa sita tulienda kwao na mume wangu, nikaambiwa na wadogo zake mumeo mezaa watoto wawili na wanawake wengine na sasa hivi anamwanamke mwingine anamsomesha chuo.

Kwakuwa tulienda kule sababu ya matizo mengine sikupenda kuanzisha ya kwangu nikasubiri tumerudi kwetu nikaamuuliza akajibu nikweli na sikutaka kukwambia kwa sababu ya kulinda uhusiano wetu na familia yetu. Nimeumia sana namuona ndo adui yangu namba moja hapa duniani, niliamua tu kuhama chumba,nikamwambia mimi sitahusiana nae tena ila nyumba sihami maana tumejenga wote na ninawatoto watatu na mchango wangu ni mkubwa sana mpaka leo nakatwa mshahara wangu nilikopa banki kujenga hii nyumba.

Kweli sinampango wa kuhusiana nae kimapenzi tena maana huu mwezi wa sita sasa lakini kila ninapomuona hasira inaongezeka. natamani ahamie kabisa kwa hao wanawake zake nahisi namchukia sana. naomba msaada nifanyeje ili huyu mwanaume ahamie kabisa huko kwa wanawake zake,nibaki kwa amani na machungu yangu na watoto. (hii habari nimeambiwa na rafiki yangu kaniomba ushauri msaidieni jamani afanyeje ameumizwa sana.
 
Hizi stigma ndio zinafanya watu wafe kisabuni na tai shingoni. sasa nikiondoka si ntaitwa 'mpumbavu'

Women!! so wonderful, wewe unakuwa wa mwisho kumwona mnapoenda kulala na wa kwanza kumwona mnapoamka, je hao ambao amezaa nao tu wanakula kwa wizi unafikiri wanajiskiaje?
"..Mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake mwenyewe"!

 
Hahahaaaa, danganya sana, kwanza ameshatumika (used) anapendeza anakutana na jamaa pia used na watoto kibao,
sipati picha..ni sawa na kuruka...na kukanyaga...! hahahaaaa!

My dear when love dies life continues. Cha mana ni kusamehe na kuendelea na Maisha yako na wanao asikuharbie kabisa Siku, jitahidi upendeze ajute.
 
pagumu hapa
jipe moyo sali sana Mungu atakuongoza katika mapito yako
 
hizo ndio ndoa bwana...asikudanganye mtu...mwanaume kamili lazima atakuwa na kimada au vimada pembeni. ila sasa huyu nae kazidisha yaani anagegeda mpaka anakojolea mtungini na kutia mtu mimba!!! loh!!
dah huyo ana wakati mgumu na hivi amehama chumba jamaa sii ndio anawagegeda vizuri.....hapa tusubirie tuu karibuni atakuja lalamika jamaa kalja kumgegeda kimada chumbani kwao hahahahaha
 
mie sijui ila akienda ustawi wa jamii atasaidiwa nadhani kuhusu swala la kugharamia watoto,mali walizochuma pamoja etc....

na mme akisema bado nampenda mke wangu ndoa haivunjiki hata mahakamani. Toeni ushauri wa kumuwezesha kulea watoto katika mazingira mazuri wasijione kwamba hawana baba/mama. Kwa kila kinachofanyika watoto hapa ndo waathirika. Ndo maana kitchen part siku hizi hovyo tu!
 
Toka muda napita na kurudi. Ngoja nipite tena nisije nikakushauri utafute small house na wewe buree!
 
hahahahahah hii ngoma nzito....watu wanachungulia tu huku wakiguna...lol kweli ndoa ni msalaba yahitaji kuifanyia rehersal..
Toka muda napita na kurudi. Ngoja nipite tena nisije nikakushauri utafute small house na wewe buree!
 
Last edited by a moderator:
Kwani kuzaa na mwanamke mwingine ni "ukoma"? Mwache atunzie watoto wake hukohuko nawe endelea na mumeo kama kawaida kwani kinapungua nini? Na ukisusa unamkomoa nani? Ataendelea kuburudika nje nawe utajitesa tu maana kutongoza mwanaume wa kutake cover sio jambo jepesi wala la kujivunia.
 
Muke ya Muzungu!!!! wants us to believe that the only men full of drama on this planet are African men....What about Wazungu like Schwarzenegger, John Edwards, Henry Hyde, John Ensign, Mark Sanford etc!?

African men full of drama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom