Namchukia mzee wangu-Muendelezo

Namchukia mzee wangu-Muendelezo

Mmmmh ila kwangu mbona tofauti, nina akili kupita watoto wote(za darasani), watu wanasema pia mimi ni handsome kuliko watoto wote wa kiume, pia ni pekee nimefika advance na chuo.

Ila nimefanana na mzee mno, pamoja na bi mkubwa, hapo sijajua inakuwaje.

Kifupi ni mtoto wao halali kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jinga sana wewe
 
We jamaa akili zako umezipa kazi ya kufikiri na kuchakqta mambo ya miaka 30 yalio pita sijui unakwama wapi...?

Kama humtaki mzee wako si umwambie tu ufunge ukurasa uendelee na maisha yako.

Ukishindwa hivyo tafuta Basha akuzagamue icho kishilingi hapa akili itafokasi kwenye kishilingi na kumuacha mzee wa watu amalizie maisha yake vizuri
 
Back
Top Bottom