Namchukia mzee wangu-Muendelezo

Jana Ulirudi Usiku

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
2,363
2,261
Wazima eeeh? Huwa najiuliza sana na nipo kwenye mgogoro mbaya sana wa nafsi, tupo wanaume 3 katika familia.

Kwann kaka zangu wote 2 wana maisha mabovu? Yaani mmoja ana 40+, mmoja ana 30 now na anategemea kwa mzee.

Huwa nachukia mno, yaani na hiki kidogo nao wanataka wapate. Nachukia kupata ndugu kama hawa, nachukia, na dada zangu wameishia kuzalishwa na kuachwa tu, kifupi wamezalia nyumbani wote 5.

Sijui wamertihi kwa bi mkubwa, nae alizalia home kwao na walikuwa washirikina na walikuwa na maisha mabovu. Mzee baada ya kumbana mno, alinijibu "mwanangu nilifanya makosa katika kuoa, mama yako ni kiburi na hasapoti mipango yangu"

Sasa hii inakuwaje? Yaani mzee alikuwa na kijiuwezo ila amezaa matoto ya kiume na kike masikini hivi?? Yaani hata kumsaidia mzee 30000 ni mtihani?? Nahapa sitokuja kidekeza watoto km mzee alivyofanya.

Nashindwa kuendelea kuandika, nina hasira mno, bado nina chuki na hili zee, jamni naumia siwezi kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hii inakuwaje? Yaani mzee alikuwa na kijiuwezo ila amezaa matoto ya kiume na kike masikini hivi?? Yaani hata kumsaidia mzee 30000 ni mtihani?? Nahapa sitokuja kidekeza watoto km mzee alivyofanya.
Kwa nini unamtaja mzazi wako bila heshima na adabu kwenye kusaidia mzazi/wazazi usiangalie mpo wangapi saidia wewe kama wewe kama uko peke yako.
 
Wazima eeeh? Huwa najiuliza sana na nipo kwenye mgogoro mbaya sana wa nafsi, tupo wanaume 3 katika familia.

Kwann kaka zangu wote 2 wana maisha mabovu? Yaani mmoja ana 40+, mmoja ana 30 now na anategemea kwa mzee.

Huwa nachukia mno, yaani na hiki kidogo nao wanataka wapate. Nachukia kupata ndugu kama hawa, nachukia, na dada zangu wameishia kuzalishwa na kuachwa tu, kifupi wamezalia nyumbani wote 5.

Sijui wamertihi kwa bi mkubwa, nae alizalia home kwao na walikuwa washirikina na walikuwa na maisha mabovu. Mzee baada ya kumbana mno, alinijibu "mwanangu nilifanya makosa katika kuoa, mama yako ni kiburi na hasapoti mipango yangu"

Sasa hii inakuwaje? Yaani mzee alikuwa na kijiuwezo ila amezaa matoto ya kiume na kike masikini hivi?? Yaani hata kumsaidia mzee 30000 ni mtihani?? Nahapa sitokuja kidekeza watoto km mzee alivyofanya.

Nashindwa kuendelea kuandika, nina hasira mno, bado nina chuki na hili zee, jamni naumia siwezi kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
dah yani ushapata hela ya kubadilisha chupi ushawasahau na kuwassema vibaya wenzako mpama wazazi wako kweli we limbukeni
 
Wazima eeeh? Huwa najiuliza sana na nipo kwenye mgogoro mbaya sana wa nafsi, tupo wanaume 3 katika familia.

Kwann kaka zangu wote 2 wana maisha mabovu? Yaani mmoja ana 40+, mmoja ana 30 now na anategemea kwa mzee.

Huwa nachukia mno, yaani na hiki kidogo nao wanataka wapate. Nachukia kupata ndugu kama hawa, nachukia, na dada zangu wameishia kuzalishwa na kuachwa tu, kifupi wamezalia nyumbani wote 5.

Sijui wamertihi kwa bi mkubwa, nae alizalia home kwao na walikuwa washirikina na walikuwa na maisha mabovu. Mzee baada ya kumbana mno, alinijibu "mwanangu nilifanya makosa katika kuoa, mama yako ni kiburi na hasapoti mipango yangu"

Sasa hii inakuwaje? Yaani mzee alikuwa na kijiuwezo ila amezaa matoto ya kiume na kike masikini hivi?? Yaani hata kumsaidia mzee 30000 ni mtihani?? Nahapa sitokuja kidekeza watoto km mzee alivyofanya.

Nashindwa kuendelea kuandika, nina hasira mno, bado nina chuki na hili zee, jamni naumia siwezi kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu kwa kauli tu unazotoa inaweza ikawa sababu ya Kuzidi kukosa furaha kama unavyosomeka hapa.
Angalau hata huyu bimkubwa alizaa watoto wake na sio kuwatupa japo kuzaa si kupata
 
Kuna mambo huwa yanatokea maishani ambayo hatuwezi kuyabadilisha sababu yalishatokea, ukitaka kuyabadilisha labda ufanye time reset kitu ambacho ni ngumu..

Cha msingi wewe endelea na maisha, kama unahisi kuna shida mahali kwenye uzao wenu basi wewe jitahidi wanao ama uzao wako usipate hako ka laana.

Mshukuru Mungu kama uko tofauti na wengine.
 
"Usiweke mayai yote kwenye kiota kimoja".

Huu msemo inawezekana mama yako aliufanyia kazi ndio maana angalau wewe unajitambua.

Mshukuru sana Mungu.
 
Wazima eeeh? Huwa najiuliza sana na nipo kwenye mgogoro mbaya sana wa nafsi, tupo wanaume 3 katika familia.

Kwann kaka zangu wote 2 wana maisha mabovu? Yaani mmoja ana 40+, mmoja ana 30 now na anategemea kwa mzee.

Huwa nachukia mno, yaani na hiki kidogo nao wanataka wapate. Nachukia kupata ndugu kama hawa, nachukia, na dada zangu wameishia kuzalishwa na kuachwa tu, kifupi wamezalia nyumbani wote 5.

Sijui wamertihi kwa bi mkubwa, nae alizalia home kwao na walikuwa washirikina na walikuwa na maisha mabovu. Mzee baada ya kumbana mno, alinijibu "mwanangu nilifanya makosa katika kuoa, mama yako ni kiburi na hasapoti mipango yangu"

Sasa hii inakuwaje? Yaani mzee alikuwa na kijiuwezo ila amezaa matoto ya kiume na kike masikini hivi?? Yaani hata kumsaidia mzee 30000 ni mtihani?? Nahapa sitokuja kidekeza watoto km mzee alivyofanya.

Nashindwa kuendelea kuandika, nina hasira mno, bado nina chuki na hili zee, jamni naumia siwezi kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Baba yako keisha kuambia chanzo ni Mama yenu , mbona yeye humlaumu ?!.

Kama aliwapa jeuri dhidi ya Baba yenu , unamlaumu je Baba yako ?!.

Nawe tengeneza family uje ulete mrejesho si kuendekeza lawama za kipumbavu.
 
Kaka hebu nifunulie siri hii! Kivipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazazi enzi hizo walikuwa wanapelekwa kwenye unyago(wanawake) na jando(wanaume).

Moja ya kitu walichokuwa wanafundishwa ni "mke jitahidi usizae watoto wote na mumeo tuu, jitahidi upate na hapo watoto wawili na mwanaume/wanaume tofauti". Vivyo hivyo kwa wanaume.

Lengo kuu lilikuwa ni kwamba endapo mumeo/mkeo kutakuwa na shida kwenye bloodline yake basi angalau watoto kadhaa wapone na hiko kisanga.
 
Wazazi enzi hizo walikuwa wanapelekwa kwenye unyago(wanawake) na jando(wanaume).

Moja ya kitu walichokuwa wanafundishwa ni "mke jitahidi usizae watoto wote na mumeo tuu, jitahidi upate na hapo watoto wawili na mwanaume/wanaume tofauti". Vivyo hivyo kwa wanaume.

Lengo kuu lilikuwa ni kwamba endapo mumeo/mkeo kutakuwa na shida kwenye bloodline yake basi angalau watoto kadhaa wapone na hiko kisanga.
Mmmmh ila kwangu mbona tofauti, nina akili kupita watoto wote(za darasani), watu wanasema pia mimi ni handsome kuliko watoto wote wa kiume, pia ni pekee nimefika advance na chuo.

Ila nimefanana na mzee mno, pamoja na bi mkubwa, hapo sijajua inakuwaje.

Kifupi ni mtoto wao halali kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmh ila kwangu mbona tofauti, nina akili kupita watoto wote(za darasani), watu wanasema pia mimi ni handsome kuliko watoto wote wa kiume, pia ni pekee nimefika advance na chuo.

Ila nimefanana na mzee mno, pamoja na bi mkubwa, hapo sijajua inakuwaje.

Kifupi ni mtoto wao halali kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama umekuwa watofauti na wengine basi mshukuru Mungu na uache kulaumu! Ukishukuru mambo yako yanafunguka zaidi. Ukikaa kulaumu na kunung'unika unajiandalia anguko lako. Kama maisha yako yanamuelekeo na bado unalaumu je ungekuwa kama hao ndugu zako wengine ungefanyaje? Familia ikishakuwa na mambo yakishirikina basi ujue viunzi vyakimaendeleo na maisha vinakuwa vingi. Shukuru acha kulalama na urekebishe unapoweza!
 
dah yani ushapata hela ya kubadilisha chupi ushawasahau na kuwassema vibaya wenzako mpama wazazi wako kweli we limbukeni
Ndugu wengine uwa ni taabu tupu, na mbaya zaidi wazazi wakishafariki wewe ndio unabebeshwa mizigo yote. Kisingizio utasikia Mzee alikusomesha, kama vile wao walitaka kusoma wakakataliwa. Mbaya zaidi unaweza kuta wewe umesoma shule za kata na wao wamesoma private wakavurunda halafu wanakuona kama umependelewa kisa umefika chuo nk nk.
 
Wazima eeeh? Huwa najiuliza sana na nipo kwenye mgogoro mbaya sana wa nafsi, tupo wanaume 3 katika familia.

Kwann kaka zangu wote 2 wana maisha mabovu? Yaani mmoja ana 40+, mmoja ana 30 now na anategemea kwa mzee.

Huwa nachukia mno, yaani na hiki kidogo nao wanataka wapate. Nachukia kupata ndugu kama hawa, nachukia, na dada zangu wameishia kuzalishwa na kuachwa tu, kifupi wamezalia nyumbani wote 5.

Sijui wamertihi kwa bi mkubwa, nae alizalia home kwao na walikuwa washirikina na walikuwa na maisha mabovu. Mzee baada ya kumbana mno, alinijibu "mwanangu nilifanya makosa katika kuoa, mama yako ni kiburi na hasapoti mipango yangu"

Sasa hii inakuwaje? Yaani mzee alikuwa na kijiuwezo ila amezaa matoto ya kiume na kike masikini hivi?? Yaani hata kumsaidia mzee 30000 ni mtihani?? Nahapa sitokuja kidekeza watoto km mzee alivyofanya.

Nashindwa kuendelea kuandika, nina hasira mno, bado nina chuki na hili zee, jamni naumia siwezi kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app

Utakuja kufa kindezi kwa kuwachukia watu.

Huo ufahamu ungekusaidia kujiwekea mikakati ya kutoka kwenye umasikini ila naona bado.

Chagua kujikita katika kupigana kivyako na ukubali kwamba umasikini wa ndugu yako siyo kosa lako. Kumchukia mzee ni upumbavu tu unakusumbua. Hakuna aliyekamilika. Bila huyo mzee mwenyewe usingekuwepo kwa hiyo acha kabisa huo ujinga wako, mhudumie mzee kadiri ya uwezo wako. Makosa yake yawe mzigo wake.
 
Wazima eeeh? Huwa najiuliza sana na nipo kwenye mgogoro mbaya sana wa nafsi, tupo wanaume 3 katika familia.

Kwann kaka zangu wote 2 wana maisha mabovu? Yaani mmoja ana 40+, mmoja ana 30 now na anategemea kwa mzee.

Huwa nachukia mno, yaani na hiki kidogo nao wanataka wapate. Nachukia kupata ndugu kama hawa, nachukia, na dada zangu wameishia kuzalishwa na kuachwa tu, kifupi wamezalia nyumbani wote 5.

Sijui wamertihi kwa bi mkubwa, nae alizalia home kwao na walikuwa washirikina na walikuwa na maisha mabovu. Mzee baada ya kumbana mno, alinijibu "mwanangu nilifanya makosa katika kuoa, mama yako ni kiburi na hasapoti mipango yangu"

Sasa hii inakuwaje? Yaani mzee alikuwa na kijiuwezo ila amezaa matoto ya kiume na kike masikini hivi?? Yaani hata kumsaidia mzee 30000 ni mtihani?? Nahapa sitokuja kidekeza watoto km mzee alivyofanya.

Nashindwa kuendelea kuandika, nina hasira mno, bado nina chuki na hili zee, jamni naumia siwezi kuendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha huo upumbavu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mpumbavu na mwehuu wewe utabaki na ufukara wa kimawazo hata Kama uwe na pesa kiasi gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom