Leo nimesafiri kuja Mwanza, sasa ile nafika airport pale Dar, nimemaliza kucheck-in napandisha ngazi kwenda kwenye lounge kuna mtu akanishika bega..kucheki ni dada mmoja ambaye tunafanya nae kazi. Ameajiriwa tu fresh from school yapata miezi mitano iliyopita. Ni chuma cha pua huyu dada, mcheshi na anaongeaga na kila mtu. Yaani anazoeana na watu haraka.
Kumbe na yeye anakuja Mwanza kikazi, ila ni kazi tofauti na ya kwangu.
Sasa since wakatu huo hadi sasa tumefika, bado nawaza jinsi ya kupata a one night stand kutoka kwa huyu dada.
Nilichofanya hadi sasa, nimemdanganya kuwa mimi kuna jamaa atakuja kunichukua lakini amechelewa, so nimeacha mizigo kwenye room yake ya hotel, kwa madai kwamba baadae nitaifuata. So as i'm writting mizigo yangu iko chumbani kwake. Na nimemwambia jamaa akija nitampigia nikachukue mizigo akasema poa hamna shida yeye hana mpango wa kutoka.
So niko hapa natafakari next step. Tafadhali naombeni msaada.
Kumbe na yeye anakuja Mwanza kikazi, ila ni kazi tofauti na ya kwangu.
Sasa since wakatu huo hadi sasa tumefika, bado nawaza jinsi ya kupata a one night stand kutoka kwa huyu dada.
Nilichofanya hadi sasa, nimemdanganya kuwa mimi kuna jamaa atakuja kunichukua lakini amechelewa, so nimeacha mizigo kwenye room yake ya hotel, kwa madai kwamba baadae nitaifuata. So as i'm writting mizigo yangu iko chumbani kwake. Na nimemwambia jamaa akija nitampigia nikachukue mizigo akasema poa hamna shida yeye hana mpango wa kutoka.
So niko hapa natafakari next step. Tafadhali naombeni msaada.