Kuweni Makini.
Jana Mkuu wa mkoa wa Mwanza Magesa
mlongo aliitisha kikao na waendesha boda boda
wa MWANZA hotel ya GOLD CREST, Boda boda
hawakujua lengo la kikao hicho ingawa baadhi ni
dhahiri walijua, kikao kilifunguliwa na mkuu wa
wilaya nyamagana na mazungumzo yalianza...
Boda boda waliahidiwa kupewa BIMA ya AFYA,
Na kusaidiwa kujiunga na mifuko ya jamii, pia
walipewa elfu 5000 kwa kila boda boda na ahadi
ya chakula kwa siku hiyo ilitolewa, jumla ya boda
boda waliohudhulia ni zaidi ya 500, Baadae
wakaambiwa wakabidhi vitambulisho vyao vya
kupigia kura, hapo ndipo mzozo ulipoanza, boda
boda baadhi wakahoji nia ya wao kukabidhi
vitambulisho hivyo lkn mkuu wa mkoa akaanza
kuwafokea na kuwatisha ndipo mlango
ulipofungwa, boda boda wakatishia kujisaidia
ndani ya hotel hiyo ndipo mlango ulipofunguliwa
na wengine wakatoka bila kukabidhi vitambulisho
vyao lakini wengine walikabidhi kwa ahadi kuwa
ijumaa hii wataenda kukabidhiwa BIMA ZA AFYA
nk.
Mpango huu ni wa Nchi nzima na ni maagizo kwa
WAKUU WOTE WA MIKOA Na WILAYA na
watendaji wa chini yao.
share ujumbe huu kwa haraka na kwa watu mbali
mbali na mpigie simu mwendesha boda boda
yyte unayemfahamu kumtahadhalisha juu ya
mpango huu haramu wa CCM na serikali yake.