Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,544
- 225,108
Hahah!Kabisa uni-ubirie.
Unadhani najua basi!!
Hahah!Kabisa uni-ubirie.
Hujawai kuhubiri ww😅?Hahah!
Unadhani najua basi!!
Sijawahi hataHujawai kuhubiri ww?
Ahahahahahaha......Tulio soma zile hesabu za Permutation na Combination hapo lazima utashangaa na nafsi yako, hatukosei.Ngoja apigiwe.
Kwaya lakini tayari.Sijawahi hata
Praise and worship teamKwaya lakini tayari.
Miaka fulani kuna bwana alikuaga ana vibe kupitiliza mda wa praise anapiga beki madhabauni😂😂Praise and worship team
Japo kuimba nako sijui
Miaka fulani kuna bwana alikuaga ana vibe kupitiliza mda wa praise anapiga beki madhabauni
Utaenda kuimba mbinguni sio😅😅, sema mtu akikuotea hapo church kam so wewe yaani ulivyobize kutukuza😅
Mimi siku hizi nimepumzika kuimba madhabahuni.
Japo Mungu namuimbia kila siku,kila saa.
Hahah!Utaenda kuimba mbinguni sio, sema mtu akikuotea hapo church kam so wewe yaani ulivyobize kutukuza
InterestingHahah!
Mungu namuimbia kila siku,popote anasikia.
Church nilikuwa nalead nyimbo mara chache Sana na mara nyingi ilikuwa worship songs.
Mtaani mambo yameingiliana, pia seriousness ya team ni ndogo..bado sijapata sehemu nzuri ya kusettle.Interesting
Saivi kwanini hu lead!!
Sure.........Mtaani mambo yameingiliana, pia seriousness ya team ni ndogo..bado sijapata sehemu nzuri ya kusettle.
Hayo nilifanya nikiwa shule
Sure.........
Sana hope you too crush.
Uko poa?
Niko poaSana hope you too crush.
Kuna mtoto mzuri hivi natafuta namba yake kitambo lakini katoweka kabisa huku jukwaani!
Ngoja msiba uishe nimuundie kamati ndogo na kubwa