Dona Kantri
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 346
- 115
za asubuhi wadau, leo asubuhi nimenunua umeme kupita m_pesa lakini cha ajabu ni kwamba nimetumiwa tokeni zikiwa hivi :
sasa sijaelewa kabisa. msaada namba yao niwaulize, nimetafuta kwenye web yao sijaipata.
sasa sijaelewa kabisa. msaada namba yao niwaulize, nimetafuta kwenye web yao sijaipata.