Namalizana vipi na huyu mdau ananitafuta akiwa na shida/matatizo tu

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Apr 20, 2008
277
548
Huyu namuongelea hapa ni mtu mzima tu na familia yake, sio mtoto mdogo na ni mtu mwenye kazi na afya yake njema tu.

Inaweza ikapita hata miaka miwili hajakutafuta, lakini siku akikupiga simu au kutuma ujumbe wa maneno basi kwa hakika ni lazima itakuwa anakuambia kabanwa ana shida/tatizo na kuwa anaomba msaada.

Nimevumilia sana ila kwa sasa yamenifika shingoni, nimechoka.

Wakuu tupeane abc mnadeal vipi na mtu au watu wa aina hii?
 
Huyu namuongelea hapa ni mtu mzima tu na familia yake, sio mtoto mdogo na ni mtu mwenye kazi na afya yake njema tu.

Inaweza ikapita hata miaka miwili hajakutafuta, lakini siku akikupiga simu au kutuma ujumbe wa maneno basi kwa hakika ni lazima itakuwa anakuambia kabanwa ana shida/tatizo na kuwa anaomba msaada.

Nimevumilia sana ila kwa sasa yamenifika shingoni, nimechoka.

Wakuu tupeane abc mnadeal vipi na mtu au watu wa aina hii?
Hahahahahah unampa msaada tu na kuachana nae.
 
Huyu namuongelea hapa ni mtu mzima tu na familia yake, sio mtoto mdogo na ni mtu mwenye kazi na afya yake njema tu.

Inaweza ikapita hata miaka miwili hajakutafuta, lakini siku akikupiga simu au kutuma ujumbe wa maneno basi kwa hakika ni lazima itakuwa anakuambia kabanwa ana shida/tatizo na kuwa anaomba msaada.

Nimevumilia sana ila kwa sasa yamenifika shingoni, nimechoka.

Wakuu tupeane abc mnadeal vipi na mtu au watu wa aina hii?
Wewe msaidie tu kama una uwezo huo.Hayo ya kutafuta sababu za kutokusabahiana miaka miwili siyo neno.
 
Ukweli ndo wengi unatusumbua kama uwezo upo unamsaidia toka moyoni kama huna uwezo unamwambia sitaweza ni mambo mawili tu hapo chief naye anaomba anategemea hayo mawili shida unataka kuongeza la tatu umpange na kum-ahidi as if anakudai kuwa mkweli hutaishi kwa manung'uniko
 
Huyu namuongelea hapa ni mtu mzima tu na familia yake, sio mtoto mdogo na ni mtu mwenye kazi na afya yake njema tu.

Inaweza ikapita hata miaka miwili hajakutafuta, lakini siku akikupiga simu au kutuma ujumbe wa maneno basi kwa hakika ni lazima itakuwa anakuambia kabanwa ana shida/tatizo na kuwa anaomba msaada.

Nimevumilia sana ila kwa sasa yamenifika shingoni, nimechoka.

Wakuu tupeane abc mnadeal vipi na mtu au watu wa aina hii?
Huyo ameishakuona wewe ni ATM. Usimtemee nyongo wala nini ILA fanya hivi; mpigie simu siku yoyote na umueleze kwamba una shida ya pesa kiasi fulani kwa ajili ya tatizo X (kiasi utakachomuomba kiwe sawa na kiwango kile kikubwa ambacho wewe ulishawahi kumpa).
Msimamo wako juu yake (kuendelea kumsaidia au laa) utategemea na jibu atakalokupa.
PS: Akikataa kukusaidia wala usimtemee nyongo maana kesho yako huijui
 
Kwani kumsaidia mtu Kunahitaji vitu vyovyote vya msingi?
Kama unaweza kumsaidia msaidie kama hauwezi achana nae
 
Back
Top Bottom