Kumbe kuna ndagu za utajiri rahisi na zisizoweza kudhuru mtu sharti ni kuwa na upendo kwa watu tu!

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,525
Tunaaambiwa kuwa uyaone nami leo nilochoambiwa na huyu mwamba kimenifanya nijiulize mara mbilimbili.

Kuna mshkaji wangu tumemaliza nae chuo mshikaji akawa anajishughulisha na kuuza mitumba jamaa kasota sana kwenye mitumba huku mi mwanae nipo mtaani na kibodaboda changu. Kwa kipindi hiko maisha yangu bodaboda ila nilikuwa na unafuu kuliko yeye sasa cha ajabu mwana life limebadilika gafla mwana anapiga pesa na maisha yake yamebadilika ghafla sana hadi ikabidi nimuulize mwana kafanyeje maana ni gafla sana.

Ndo mwana kanambia ukweli kuwa alienda kwa mtaalam sehemu akapewa ndagu ya biashara, kidogo kuskia neno ndagu nilishtuka sana maana mwana kwao napajua na sijawai ona tatzo lolote pia mwana ni mwanangu wa karibu ila sijawai ona mapichapicha yoyote kwake wala masharti yoyote yakunistua ndo nikaulizia mwana ndagu hiyo ndo ikoje?

Mwana kanambia alipewa kitu cha kutembea nacho na sharti lake ni asje kuzini akiwa nacho wala asije kufanya ugomvi wala dhuruma akiwa nacho, pia aliambiwa apende watu, asiwe mbaguzi na awe mcheshi mda wote. Na akiona wana wanapata shida awasaidie na zile furaha watu wanazopata kutoka kwake ndo utajiri wenyewe,

Pia mwana alisema pesa zake au mkono wake usije kudhiriki kutoa mtu dam au uhai, mfano ikitokea akahonga watu pesa wamdhuru mtu hapo ndo kavunja masharti, au ikitokea yeye apige mtu kwa mkono wake hapo ndo kavunja masharti.

Na nilivopata shauku ya kujua hiko kitu maana kwa fkra za kawaida nilidhani labda ni mijoka au kitu cha kutisha sana ila mwana alinioneshea kadude kadogo tu kama kagoroli kakashonea kwenye kacha na anakavaa kama urembo tu kwenye cheni ya shingoni hata huwezi kidhania kama ni kitu cha maajabu.

Sasa hapa nimekuja kwenu wadau ivi kweli kuna ndagu zenye masharti rahisi kama haya ya wema au mwana kanipanga.
 
Tunaaambiwa kuwa uyaone nami leo nilochoambiwa na huyu mwamba kimenifanya nijiulize mara mbilimbili.

Kuna mshkaji wangu tumemaliza nae chuo mshikaji akawa anajishughulisha na kuuza mitumba jamaa kasota sana kwenye mitumba huku mi mwanae nipo mtaani na kibodaboda changu.
Kwa kipindi hiko maisha yangu bodaboda ila nilikuwa na unafuu kuliko yeye sasa cha ajabu mwana life limebadilika gafla mwana anapiga pesa na maisha yake yamebadilika gafla sana
Hadi ikabidi nimuulize mwana kafanyeje maana ni gafla sana.

Ndo mwana kanambia ukweli kuwa alienda kwa mtaalam sehemu akapewa ndagu ya biashara,
Kidogo kuskia neno ndagu nilishtuka sana maana mwana kwao napajua na sijawai ona tatzo lolote pia mwana ni mwanangu wa karibu ila sijawai ona mapichapicha yoyote kwake wala masharti yoyote yakunistua ndo nikaulizia mwana ndagu hiyo ndo ikoje?

Mwana kanambia alipewa kitu cha kutembea nacho na sharti lake ni asje kuzini akiwa nacho wala asije kufanya ugomvi wala dhuruma akiwa nacho, pia aliambiwa apende watu, asiwe mbaguzi na awe mcheshi mda wote,
Na akiona wana wanapata shida awasaidie na zile furaha watu wanazopata kutoka kwake ndo utajiri wenyewe,

pia mwana alisema pesa zake au mkono wake usije kudhiriki kutoa mtu dam au uhai, mfano ikitokea akahonga watu pesa wamdhuru mtu hapo ndo kavunja masharti, au ikitokea yeye apige mtu kwa mkono wake hapo ndo kavunja masharti.

Na nilivopata shauku ya kujua hiko kitu maana kwa fkra za kawaida nilidhani labda ni mijoka au kitu cha kutisha sana ila mwana alinioneshea kadude kadogo tu kama kagoroli kakashonea kwenye kacha na anakavaa kama urembo tu kwenye cheni ya shingoni hata huwezi kidhania kama ni kitu cha maajabu.

Sasa hapa nimekuja kwenu wadau ivi kweli kuna ndagu zenye masharti rahisi kama haya ya wema au mwana kanipanga.
Kuna wakati atatakiwa kutoa kafara

Ni wajanja, wanataka ulewe utajiri kisha wanakupa sharti la kafara wakijua kuwa hutaweza kukataa kwa kuwa tayari uko kileleni.

Hakuna utajiri wa masharti rahisi kama hayo. Utaambiwa utoe kafara ya damu ya mtu, uzini na mwanao au mzazi, na siku hizi nasikie kuna utajiri wa kufukuliwa chemba.

Kama unabujasiri nenda ujaribu, kama huna ujasiri, komaa na umaskini wako.
 
Tunaaambiwa kuwa uyaone nami leo nilochoambiwa na huyu mwamba kimenifanya nijiulize mara mbilimbili.

Kuna mshkaji wangu tumemaliza nae chuo mshikaji akawa anajishughulisha na kuuza mitumba jamaa kasota sana kwenye mitumba huku mi mwanae nipo mtaani na kibodaboda changu. Kwa kipindi hiko maisha yangu bodaboda ila nilikuwa na unafuu kuliko yeye sasa cha ajabu mwana life limebadilika gafla mwana anapiga pesa na maisha yake yamebadilika ghafla sana hadi ikabidi nimuulize mwana kafanyeje maana ni gafla sana.

Ndo mwana kanambia ukweli kuwa alienda kwa mtaalam sehemu akapewa ndagu ya biashara, kidogo kuskia neno ndagu nilishtuka sana maana mwana kwao napajua na sijawai ona tatzo lolote pia mwana ni mwanangu wa karibu ila sijawai ona mapichapicha yoyote kwake wala masharti yoyote yakunistua ndo nikaulizia mwana ndagu hiyo ndo ikoje?

Mwana kanambia alipewa kitu cha kutembea nacho na sharti lake ni asje kuzini akiwa nacho wala asije kufanya ugomvi wala dhuruma akiwa nacho, pia aliambiwa apende watu, asiwe mbaguzi na awe mcheshi mda wote. Na akiona wana wanapata shida awasaidie na zile furaha watu wanazopata kutoka kwake ndo utajiri wenyewe,

Pia mwana alisema pesa zake au mkono wake usije kudhiriki kutoa mtu dam au uhai, mfano ikitokea akahonga watu pesa wamdhuru mtu hapo ndo kavunja masharti, au ikitokea yeye apige mtu kwa mkono wake hapo ndo kavunja masharti.

Na nilivopata shauku ya kujua hiko kitu maana kwa fkra za kawaida nilidhani labda ni mijoka au kitu cha kutisha sana ila mwana alinioneshea kadude kadogo tu kama kagoroli kakashonea kwenye kacha na anakavaa kama urembo tu kwenye cheni ya shingoni hata huwezi kidhania kama ni kitu cha maajabu.

Sasa hapa nimekuja kwenu wadau ivi kweli kuna ndagu zenye masharti rahisi kama haya ya wema au mwana kanipanga.
Masharti aliyopewa nayaweza ila kwenye swala la kuzini HAPANA aisee yani nisile mali safi!!? HAPANAAA
 
Kuna wakati atatakiwa kutoa kafara

Ni wajanja, wanataka ulewe utajiri kisha wanakupa sharti la kafara wakijua kuwa hutaweza kukataa kwa kuwa tayari uko kileleni.

Hakuna utajiri wa masharti rahisi kama hayo. Utaambiwa utoe kafara ya damu ya mtu, uzini na mwanao au mzazi, na siku hizi nasikie kuna utajiri wa kufukuliwa chemba.

Kama unabujasiri nenda ujaribu, kama huna ujasiri, komaa na umaskini wako.
Mwamba achukue ushauri wako.
Kuhusu utajiri wa kufukuliwa mitaro nimeusikia ila kuna dogo hapa mtaani kwangu kipindi naanza kujenga alikuabananibeba sana na boda yake siku nikienda kwa daladala sasa dogo kaja kuwa wamoto sana Kasambaza bajaji kama 9 now na ana kosta 2 hizi civilian zote pamba. Siku moja alikuja ofisini akataka tuwe na muunganiko fulani aweze kufanya biashara ninayofanya nikampa maelekezo lakini nilihitaji kujua namna ya yeye anavyopata pesa ili isijeniletea matatizo baadae, dogo akaniambia mungu kafungua milango ya baraka sikuamini kwa muda mfupi kweli maendeleo ya fasta nikawa na langu kichwani.

Siku moja nipo home katika stori na jirani wakatoa malalamiko mtoto wa fulanibkafanyiwa mchezo mbaya kuja kujua aliefanya huo mchezo ni yule dogo dah nikaona kazingua baadae napewa stori ndio michezo yake anahonga vijana anawafira alafu habari zinavuja mtaani ndio anapata pesa lile swala liliniumiza kichwa kuna mzee akanambia dogo anakoelekea masharti yatamgeuka atakua anafirwa na anafira yaani nikazidi kumuonea dogo huruma na anavyojiweka unaona kabisa soon ataanza kuliwa maana muda mwingi anakua na vijana wenzake kwenye gari yake na wanajiachia sana ila ndio hivyo now anawapakua wenzake anapata mkwanja na nilazima siri ivuje sio mambo ya kisiri siri
 
Mwamba achukue ushauri wako.
Kuhusu utajiri wa kufukuliwa mitaro nimeusikia ila kuna dogo hapa mtaani kwangu kipindi naanza kujenga alikuabananibeba sana na boda yake siku nikienda kwa daladala sasa dogo kaja kuwa wamoto sana Kasambaza bajaji kama 9 now na ana kosta 2 hizi civilian zote pamba. Siku moja alikuja ofisini akataka tuwe na muunganiko fulani aweze kufanya biashara ninayofanya nikampa maelekezo lakini nilihitaji kujua namna ya yeye anavyopata pesa ili isijeniletea matatizo baadae, dogo akaniambia mungu kafungua milango ya baraka sikuamini kwa muda mfupi kweli maendeleo ya fasta nikawa na langu kichwani.

Siku moja nipo home katika stori na jirani wakatoa malalamiko mtoto wa fulanibkafanyiwa mchezo mbaya kuja kujua aliefanya huo mchezo ni yule dogo dah nikaona kazingua baadae napewa stori ndio michezo yake anahonga vijana anawafira alafu habari zinavuja mtaani ndio anapata pesa lile swala liliniumiza kichwa kuna mzee akanambia dogo anakoelekea masharti yatamgeuka atakua anafirwa na anafira yaani nikazidi kumuonea dogo huruma na anavyojiweka unaona kabisa soon ataanza kuliwa maana muda mwingi anakua na vijana wenzake kwenye gari yake na wanajiachia sana ila ndio hivyo now anawapakua wenzake anapata mkwanja na nilazima siri ivuje sio mambo ya kisiri siri
Duuh mkuu noma
 
Back
Top Bottom