Wivu m baya Sana utakuuwa kabla ya Siku yako badilikaWanaosoma ulaya wala hawapigi kelele
Ukifika wasiliana na huyo mdau mkata-mkaa atakupatia ajira chapNashukuru Sana mkuu
Mkuu nimependa kuja kutoa msaada kwa taifa langunyie huko hawafundishi kujia jiri
Bibi hivi we ndo hua unatokea kwenye majarida ya Forbes kama a self made entrepreneur wa bongo etiHakika Watanzania bado tumejazwa ujinga wa kitumwa. Hadi leo mtu anamaliza chuo anafikiria kuajiriwa hafikirii kuajiri au japo kujiajiri.
Hakika tuna safari ndefu sana ya kwenda.
mshenzi sana huyu dada, anajifanya mjuaji kumbe masikini wakutupwa aiseee. akwende zake hkoWewe uliejiajiri una nini masikini Mkubwa wewe tena mla vumbi wewe
SawaWenzako wanataka kusepa ww unajileta.
Karibu
Zipo kibao za kuchenjua makinikia
Just a JobKijana acha maneno...unatafuta mke au mchumba