I think my dearMmmmmmmh
Duh ulienda lini huku ulikuwa busy na maswali mengi ya hadi mikopo? Au utasema ilikuwa risechi!?
Uzalendo. MkuuWe komaaa huko huko,bongo kazi za kujuana
Na Exposure yote bado unataka kuajiriwa ?Wakuu Huko Tanzania kukoje upepo wa ajira?
Na Exposure yote bado unataka kuajiriwa ?
Huo mtaji wa kujiajiri unautoa wapi.?Hakika Watanzania bado tumejazwa ujinga wa kitumwa. Hadi leo mtu anamaliza chuo anafikiria kuajiriwa hafikirii kuajiri au japo kujiajiri.
Hakika tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Hiko chuo hakipo duniani... tafuta jina la chuo kingine utudanganyeWakuu Huko Tanzania kukoje upepo wa ajira?
Watoto wa vibopa mna mbwembweWakuu Huko Tanzania kukoje upepo wa ajira?
Umerogwa wewe
Haha mpe huyo mupeeeeeeWewe uliejiajiri una nini masikini Mkubwa wewe tena mla vumbi wewe
Hiko chuo hakipo duniani... tafuta jina la chuo kingine utudanganye
Naona unapenda kusikia majibu unayoyataka kusikia.Nashukuru Sana mkuu Ubarikiwe Sana
SawaHiko chuo hakipo duniani... tafuta jina la chuo kingine utudanganye
Endelea kufanya usafi huko huko au kulea wazee/ learning disabilities!Wakuu Huko Tanzania kukoje upepo wa ajira?
Umechoka kufanya kazi za kufagia, kuosha vyombo na vyoo na kubeba maboksi uko ulaya niniWakuu Huko Tanzania kukoje upepo wa ajira?
Ndio mkuuUmechoka kufanya kazi za kufagia, kuosha vyombo na vyoo na kubeba maboksi uko ulaya nini
Just patriotism spiritKazi ngumu buku bongo wetafutaga huko huko Mzee baba