Naliona shimo kubwa mbele yetu

Naliona shimo kubwa mbele yetu

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
4,465
Reaction score
4,613
Wasalaam.

Kama taifa ni kama tumepoteza dira na matumaini kwani miongoni mwetu tunaishi na manung'uniko, visasi, uhasama, dhulma, na kuombeana hata vifo na kupambikiana kesi za kipuuzi. Ukweli mchungu ni kwamba chama cha mapinduzi ndio kimetufikisha hapa tulipo na tunakaribia njia panda.

Nasema CCM ndio wametuchimbia shimo kubwa kwa sababu moja tu, wametunga sheria kandamizi dhidi ya raia ambazo zinatesa na kuleta upendeleo kwa maslahi ya kundi fulani ndani ya CCM. Mfano wa sheria kandamizi ni kama hii ya tozo kwenye simu na hii ya kodi ya jengo kwenye luku, maana hapa mpangaji ndo anaelipia mwenye nyumba.
ccm hawa ndo wametufikisha hapa.

CCM hawahawa wamezuia upatikanaji wa katiba ya wananchi kwani iliopo ni chama kimoja ambayo waliotunga hawafiki watu mia moja, na inawanufaisha viongoz walafi wa CCM ambao wamejiwekea kinga ya kutoshtakiwa milele hata wakiiba au kuua raia.

Hitimisho: Watanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa na hakuna wakuokoa katika hili ila sisi wenyewe tutakaporudiwa na ufahamu, kwani ni kama tumezimia tumepoteza fahamu.
 
Nchi inayoua viongozi wake kisa ni wazelendo unajiuliza hili ni taifa gani? RIP JPM!. Na kibaya kuliko vyote eti wanawaambia watanzania kuweni wazalendo kwa nchi yenu ..ili kesho wakuue
 
Wasalaam.

Kama taifa ni kama tumepoteza dira na matumaini kwani miongoni mwetu tunaishi na manung'uniko, visasi, uhasama, dhulma, na kuombeana hata vifo na kupambikiana kesi za kipuuzi. Ukweli mchungu ni kwamba chama cha mapinduzi ndio kimetufikisha hapa tulipo na tunakaribia njia panda.
Hiyo ndio balaa ya utawala wa chama kimoja.
 
Nchi inayoua viongozi wake kisa ni wazelendo unajiuliza hili ni taifa gani? RIP JPM!. Na kibaya kuliko vyote eti wanawaambia watanzania kuweni wazalendo kwa nchi yenu ..ili kesho wakuue
Angalia yanayomkuta Gwajima na Slaa, kumbuka yaliyomfika Kigoma Malima na Mwakyembe.
 
Ila watanzania wapiizi na waoga sn sisi.Haya mambo inatakiwa tuyachukulie hatua kali Dunia ijue.

Najuta kuzaliwa Tz
 
Hapo mwisho umemaliza vzr sana,haf akili zitukae vzr
 
Wasalaam.

Kama taifa ni kama tumepoteza dira na matumaini kwani miongoni mwetu tunaishi na manung'uniko, visasi, uhasama, dhulma, na kuombeana hata vifo na kupambikiana kesi za kipuuzi. Ukweli mchungu ni kwamba chama cha mapinduzi ndio kimetufikisha hapa tulipo na tunakaribia njia panda.

Nasema ccm ndio wametuchimbia shimo kubwa kwa sababu moja tu, wametunga sheria kandamizi dhidi ya raia ambazo zinatesa na kuleta upendeleo kwa maslahi ya kundi fulani ndani ya ccm. Mfano wa sheria kandamizi ni kama hii ya tozo kwenye simu na hii ya kodi ya jengo kwenye luku, maana hapa mpangaji ndo anaelipia mwenye nyumba.
ccm hawa ndo wametufikisha hapa.

Ccm hawahawa wamezuia upatikanaji wa katiba ya wananchi kwani iliopo ni chama kimoja ambayo waliotunga hawafiki watu mia moja, na inawanufaisha viongoz walafi wa ccm ambao wamejiwekea kinga ya kutoshtakiwa milele hata wakiiba au kuua raia.

Hitimisho: Watanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa na hakuna wakuokoa katika hili jla sisi wenyewe tutakaporudiwa na ufahamu, kwani ni kama tumezimia tumepoteza fahamu.
Hii nchi imeshapoteza dira,Ni nchi pekee Rais anazungumza na hakuna anayemsikia wala kujali.
 
Wasalaam.

Kama taifa ni kama tumepoteza dira na matumaini kwani miongoni mwetu tunaishi na manung'uniko, visasi, uhasama, dhulma, na kuombeana hata vifo na kupambikiana kesi za kipuuzi. Ukweli mchungu ni kwamba chama cha mapinduzi ndio kimetufikisha hapa tulipo na tunakaribia njia panda.

Nasema CCM ndio wametuchimbia shimo kubwa kwa sababu moja tu, wametunga sheria kandamizi dhidi ya raia ambazo zinatesa na kuleta upendeleo kwa maslahi ya kundi fulani ndani ya CCM. Mfano wa sheria kandamizi ni kama hii ya tozo kwenye simu na hii ya kodi ya jengo kwenye luku, maana hapa mpangaji ndo anaelipia mwenye nyumba.
ccm hawa ndo wametufikisha hapa.

CCM hawahawa wamezuia upatikanaji wa katiba ya wananchi kwani iliopo ni chama kimoja ambayo waliotunga hawafiki watu mia moja, na inawanufaisha viongoz walafi wa CCM ambao wamejiwekea kinga ya kutoshtakiwa milele hata wakiiba au kuua raia.

Hitimisho: Watanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa na hakuna wakuokoa katika hili jla sisi wenyewe tutakaporudiwa na ufahamu, kwani ni kama tumezimia tumepoteza fahamu.
safi, ninyi ndo wanawake wa kuoa, kama hutojali njoo pm tuyajenge mrembo.
 
Ni nchi ambayo hata Wana CCM wenyewe hawaangalii TBCCM na channel ten.
Muda wote wako AL JAZEERA Cha ajabu hawana wanachojifunza kutoka Afghanistan.
 
Nchi inayoua viongozi wake kisa ni wazelendo unajiuliza hili ni taifa gani? RIP JPM!. Na kibaya kuliko vyote eti wanawaambia watanzania kuweni wazalendo kwa nchi yenu ..ili kesho wakuue
kijana unahitajika uripoti central kusaidia mahakama kwa upelelezi na ushahidi zaidi.
 
Nchi inayoua viongozi wake kisa ni wazelendo unajiuliza hili ni taifa gani? RIP JPM!. Na kibaya kuliko vyote eti wanawaambia watanzania kuweni wazalendo kwa nchi yenu ..ili kesho wakuue
Aliuliwa au alikufa kwa ujinga wake wa kudharau corona?
 
Kunanchi zina viongozi na nyingine fyongoz!!


wachezaji wakike hawana matiti huku jomoni... saitakwaje kamanchi??
 
Nchi inayoua viongozi wake kisa ni wazelendo unajiuliza hili ni taifa gani? RIP JPM!. Na kibaya kuliko vyote eti wanawaambia watanzania kuweni wazalendo kwa nchi yenu ..ili kesho wakuue
Mzalendo gani wakati nae alikuwa muuaji huku akipora mali ya umma?
 
Wasalaam.

Kama taifa ni kama tumepoteza dira na matumaini kwani miongoni mwetu tunaishi na manung'uniko, visasi, uhasama, dhulma, na kuombeana hata vifo na kupambikiana kesi za kipuuzi. Ukweli mchungu ni kwamba chama cha mapinduzi ndio kimetufikisha hapa tulipo na tunakaribia njia panda.

Nasema CCM ndio wametuchimbia shimo kubwa kwa sababu moja tu, wametunga sheria kandamizi dhidi ya raia ambazo zinatesa na kuleta upendeleo kwa maslahi ya kundi fulani ndani ya CCM. Mfano wa sheria kandamizi ni kama hii ya tozo kwenye simu na hii ya kodi ya jengo kwenye luku, maana hapa mpangaji ndo anaelipia mwenye nyumba.
ccm hawa ndo wametufikisha hapa.

CCM hawahawa wamezuia upatikanaji wa katiba ya wananchi kwani iliopo ni chama kimoja ambayo waliotunga hawafiki watu mia moja, na inawanufaisha viongoz walafi wa CCM ambao wamejiwekea kinga ya kutoshtakiwa milele hata wakiiba au kuua raia.

Hitimisho: Watanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa na hakuna wakuokoa katika hili ila sisi wenyewe tutakaporudiwa na ufahamu, kwani ni kama tumezimia tumepoteza fahamu.
Samahani.

Mimi sikupi pole wewe na wengine wa aina yako wanaosubiri tozo ndipo muone kwamba nchi yetu tayari imeangukia ndani ya korongo.
Hizi rasha rasha ndizo zinazokusumbua wewe, huoni kabisa mambo mazito na ya msingi yanayowanyima waTanzania uhuru na haki zao, unaona tozo tu!

Kwa hiyo hapo CCM watakapoondoa tozo na kuendelea na ukandamizaji wewe utakuwa mbele kupiga vigelegele kwao?

Watu wananyanyaswa, wewe huoni tatizo. Unakwenda kupiga kura kuchagua kiongozi, kura yako haina maana kwa sababu CCM walishakuchagulia wanayemtaka, huoni shida?
 
Back
Top Bottom