Nashukuru sana kaka kwa nasaa zake nzuri, mungu akubariki sana ndugu yangu
Aiseee!kwaiyo angeingia lowasa madarakani angekuwa na kazi nzuri sasahivi?Pole,hata mie nilipitia hatua hii.Upo muda utapata tu.
Swali: Je, wewe na familia yako,marafiki n.k mlimpigia nani Kura?na mnajiandaaje ktk upigaji Kura ujao?Tafakari
Bado naamini utapata tu, Computer Labs kwenye Secondary Schools, Colleges na Vyuo zajhitaji wenye vyeti kama wewe, endelea ku-apply ndugu, utapata tu, jaribu kurekebisha CV yako na Cover Letter..Habarini za jioni, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuakikisha tunajenga familia na nchi kwa ujumla...
Kwa wale wanaouguza na kuugua nawapa pole na nawaombea kwa muumba mbingu na nchi awaponye nyote na mrejee kwenye hali nzuri ili kuendeleza majukumu yenu
Niende kwenye maada moja kwa moja
Yapata week moja na kidogo tangu nilete uzi wangu wa kuomba watanzania wanisaidie nafasi ya kazi yeyote ile
Wengi walinibeza ( nawashukuru coz ni sehemu ya maisha pia) kunitolea kauli chafu na wengine walinitia moyo (nawashukuru pia)
.Ndugu zangu, watanzania wenzangu nakuja tena mbele yenu naombeni mnisaidie sehemu yeyote ya kujishkiza au nafasi yeyote ya kazi nipo chini ya miguu yenu
.Nimefanya sana application pasipo mafanikio yeyote yale
.Mpaka nahisi kukata kabisa tamaa na aya maisha...
.Kila siku naamini labda zamu yangu bado, ila ndio jua kwangu linazama maana umri nao unanitupa moon I
.Elimu yangu: Degree ya Compute (Computer) Security (Bsc in cyber security)
Napatikana: Dar es Saalam
Namba yangu ya simu: 0755-836-347
Nipo chini ya miguu yenu watanzania wenzagu aombeni msaada wenu ndugu zangu, watanzania wenzangu.
Nimechoka kulia peke yangu, naomba niwalilie ninyi ndugu zangu mnisaidie.
Asante pia kwa kuchukua muda wako kusoma andiko langu
Mungu awabariki sana sana.
Asante mkuu, mungu akubariki sana KWA kunitia moyoBado naamini utapata tu, Computer Labs kwenye Secondary Schools, Colleges na Vyuo zajhitaji wenye vyeti kama wewe, endelea ku-apply ndugu, utapata tu, jaribu kurekebisha CV yako na Cover Letter..
Kila la heri...
Kuna mdau hapo juu alisema mkutane tarh10 akupe internship ya miezi sita vp aliishia wapiNtashukuru sana ndugu, mwenyezi mungu akuabariki sana
haya sasa wale wa dernmarkView attachment 963616
Siyo kweli, imani za kishirikina.Chanzo cha machozi yako ni hiyo ID yako. pole hauko peke yako! Laana za vijana wengi zinamtafuna bwana yule..