Huyu jamaa mjanja mjanja sana dogo analia shida yeye anamgeuza fursa yani hata huruma hana.Bwana canimito habari zako tunazo.sio ubinadamu huo
ijayo
Hiyo ni nzuri lakini mtaji wake unatakiwa mkubwa isitoshe waliowengi hawana ajira . Kuwekeza kwenye knowledge tuliyonayo naona ni bora sababu kama hauna fedha una changia akili na nguvu yako na tulio na uwezo wa kupata mia mia tunachangia vyote.hatA mkifanya na kununua magari nje naona hii inabamba sana town hapa kuagizia watu magari nje
Bado ndio nataka tuone tutajikusanya wangapi tuongee tuone tutafanyaje..nimetamani ila nipo shamba nakomaa na pilipili mbuzi kikao ni lini?
Mimi pia nitajitolea uwezo wangu katika UI/UX, Web Design, Web Development, App Development and Management, Social Media Marketing and Management, Sound Design, Video Editing, Graphic Design, Muda na vingine vingiAjira hamna basi tujiunge nguvu watu wa IT kufanya start up ya biashara inayoendana na field , mimi nitatoa support ya Servers na PC plus vipesa vidogo vya hapa na pale, but tunasajili kampuni na kila mtu anakuwa na shares ili kuwezesha watu wakomae zaidi na kupiga kazi.
Kama kuna mwenye nia hiyo ni pamoja tuonane tufanye maandalizi.
Maisha yangu yapo nje ya Tanzania ila nimeingia nipo hapa 3 days now na nitakuwepo mwezi mzima , kwahiyo kama wapo wenye nia pm tujiunge tukutane tuone tunaanzaje.
WAZO LANGU TU WADAU..
nichek inboxMimi pia nitajitolea uwezo wangu katika UI/UX, Web Design, Web Development, App Development and Management, Social Media Marketing and Management, Sound Design, Video Editing, Graphic Design, Muda na vingine vingi
tukutane hapaNaona interest imetokea kwa watu. Basi tuji mobilize. Njia gani itafaa kujiunganisha na kukutana?
Good.
Habarini za jioni, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuakikisha tunajenga familia na nchi kwa ujumla...
Kwa wale wanaouguza na kuugua nawapa pole na nawaombea kwa muumba mbingu na nchi awaponye nyote na mrejee kwenye hali nzuri ili kuendeleza majukumu yenu
.
.
Niende kwenye maada moja kwa moja
.
.
Yapata week moja na kidogo tangu nilete uzi wangu wa kuomba watanzania wanisaidie nafasi ya kazi yeyote ile
.
.
Wengi walinibeza ( nawashukuru coz ni sehemu ya maisha pia) kunitolea kauli chafu na wengine walinitia moyo (nawashukuru pia)
.
.
Ndugu zangu, watanzania wenzangu nakuja tena mbele yenu naombeni mnisaidie sehemu yeyote ya kujishkiza au nafasi yeyote ya kazi nipo chini ya miguu yenu
.
.
Nimefanya sana application pasipo mafanikio yeyote yale
.
.
Mpaka nahisi kukata kabisa tamaa na aya maisha...
.
.
Kila siku naamini labda zamu yangu bado, ila ndio jua kwangu linazama maana umri nao unanitupa moon I
.
.
.
Elimu yangu: Degree ya Compute Security (Bsc in cyber security)
Napatikana: Dar es Saalam
Namba yangu ya simu: 0755-836-347
Nipo chini ya miguu yenu watanzania wenzagu aombeni msaada wenu ndugu zangu, watanzania wenzangu.
Nimechoka kulia peke yangu, naomba niwalilie ninyi ndugu zangu mnisaidie.
Asante pia kwa kuchukua muda wako kusoma andiko langu
Mungu awabariki sana sana.
Yes, ningekua na pesa nisingesita kumuwezesha kijana mwenzangu.lkn ndyo hivo bado, hako ni kajina tu mkuu(financial services)Mkopeshe basi
Mapema ipi mkuu?? We mpk hapo hujaona km huyo fala canimito ni mwizi tuu km wezi wengine af unasema ni mapema? au ndo ww na id yako nyingine unataka kuanza kutafuta namna ya kujitetea? Nawachukia sana wezi, yani mtu ana shida kibao af kuna jinga lingine linataka kumuibiaMkuu bado mapema kumtuhumu huyu jamaa,ngoja aje hapa tusikie kama kweli alikuwa na nia njema na mdau ninini kilichomkwamisha?
Kafanyaje tena???Ntakuja kumuelezea uyu mtu soon, ajanifanyia kitu chema ata kidogo
Mm mwenyewe nimemshangaa eti mapema, atakuwa hajaingia mjini bado huyu tusimlaumu sana.Mapema ipi mkuu?? We mpk hapo hujaona km huyo fala canimito ni mwizi tuu km wezi wengine af unasema ni mapema? au ndo ww na id yako nyingine unataka kuanza kutafuta namna ya kujitetea? Nawachukia sana wezi, yani mtu ana shida kibao af kuna jinga lingine linataka kumuibia
Mkuu kama ulikuwa sayona bila shaka unamfahamu Majengo?Kweli mambo yamebadilika sana mkuu,wakati nipo dsm nilikuwa napiga sana deiwaka SAYONA.
angalia huu uzi kuna seh utaona link ya watsap grp tujaribu kufanya kituSwala la ajira limekuwa tatizo kwetu vijana,wale wenye uwezo wa kutusaidia naomba mtusaidie,hata mimi nina uhitaji mkubwa wa kazi yoyote iliyohalali ama kibarua mkoa wowote.Nimekata tamaa kbs na maisha.please help me.
Elimu yangu ni Bsc forestry
Umri:25.