Nalaani kitendo alichofanyiwa mke wangu siku ya harusi yetu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,428
RIP Fredwaaa.

Nalaani kitendo alichafanyiwa mke wangu mpendwa siku ya harussi yetu.

Siku ya harusi mke wangu na mimi tukiwa ukumbini tulishtuka kuona mtu akichukua mic na kuanza kumdai waifu mbele ya wageni waalikwa.

Kwani kulikuwa na shida kusubiri wageni watoe zawadi kisha tulipe deni.
 
Back
Top Bottom