Jamaa alimzuia Kinana asiongee na waandishi wa habari. Kwasabb alihofia Kinana angemuunga mkono nape na kumlaani mkulu..Hivi kuna mtu anatumwa akatibiwe??maajabu haya ni tz pekee
Kwahiyo Kinana alikuwepo nchini jana kutwa nzima. labda awe amesafiri leo.