@Arusha,Mama mchagga (Mmaranguu), baba mngoni
Ndege mjanja hunaswa tundu bovu, baada ya kuchemka mwishowe nilisaidiwa kumpata wa kunioa 'Asante'
Mama aliwakataa wachumba zangu wawili, watatu alikuwa Mkibosho very handsome akisoma Uhandisi UDSM baba yake akiwa ni tajiri wa Hardware chains Arusha na Moshi. Mama alimkataa na akawaka kama mbogo na laana akatamka ‘Hata nife sitaki uolewe na mkibosho’
Kuna rafiki yake Mama akiitwa Mama Kavishe (Mchagga wa Rombo)akiwa Tour operator mdogo kipindi kile akanipigia simu, njoo mwanangu kuna zawadi nataka kukupa….Nilipofika akaniambia Marytina usitake kutuua mama zako kabla ya muda…”achana na huyo mkibosho” na tena naomba nikuchagulie mume….
Nikacheka…unichagulie, Ndio niruhusu nikuchagulie na hutajutia….na tunataka uolewe mapema kabla ya 23 years tupate mjukuu wa ndoa.Nakuchagulia mtu ambaye anaweza kuwa bora kwako na kwa familia. Nani huyo….nani huyo mama unataka niolewe naye..akanijibu LOTII, LOTII, LOTII…akaniambia waweza kwenda chukua funguo hamna dereva wa kukupeleka nyumban na hiyo CRUZA haiendi porini wiki ijayo nenda hata mjini (Nairobi) kajitafakari
Baada ya wiki nikarejesha gari na kukutana tena na Mama Kavishe…
Marytina: Mama alikuwa serious?
Mama Kavishe: Ndio na hata ningekuwa na binti wa kumzaa ningemwozesha LOTII,
Marytina :Lakini Mama mbona LOTII ni kama kaka yangu, na sikujua atajakuwa mpenzi wangu so mambo mengi nimemweka wazi tokea utoto? na Hajawahi kunitongoza?
Mama Kavishe : Koma na ukome…wewe Mngoni/Mchagga, LOTII Mmasai/Mmasai huo undugu uko wapi??? Hayo uliyomweka wazi ndio kinga yako kwenye huo uhusiano na tunajua anakupenda anakuheshimu ndio maana hawezi kukutongoza
Marytina: LOTII sasa mara ni mpishi, mara ni mbeba mizigo yupo yupo tu kwenye utalii bila profession sio tour guide, sio dereva, sio mpishi mwenye vyeti….kuna kipindi anakaa bila kazi miezi sita anakuwa kwao kijiweni ILBORU tutaishije mama? Ni form four tu hamna hata ndoto za kazi
Mama Kavishe: Kwa hiyo unampenda ila unakwama hapo….kwenye carrier & professionalism? We will help you to turn him around….step by step ila usimwambie hili. LOTII ana positive comments kwa kila aliyefanya nae kazi hata mimi nimefanya naye kazi kadhaa kwa uaminifu sana hivyo anaelekezeka
Marytina : Kwa hiyo ntamwanzaje wakati namheshimu, mbona kituko??? Na kama ana mtu tayari?
Mama Kavishe : Fanya uwezavyo kufanya ndani ya miezi mitatu nataka kuona ushahidi wa uwepo wa mahusiano …anzia kumpeleka DRIVING kama just rafiki na jirani…akijua nitampa CRUZA kama dereva, MKIFUNGA NDOA tutawapeleka UGANDA & KINSASHA, kisha SOUTH AMERICA, kwa kingereza , kifaransa na spaniola. Kisha German ….wewe nay eye mtakuwa Tour guides….the rest will be history ntajua mtakavyoendelea ila mkikwama tupo..
SASA HUYU LOTII NI NANI….
Utotoni nilipitia historia ngumu kidogo, tukiisha kama vitajiri miaka hiyo Arusha ILBORU, gafla baba, mjomba walitupwa korokoroni, Tukakimbilia Kenya (Mama na wadogo zangu wawili) baadae mama akakamatwa na kurejeshwa Tanzania kuunganishwa kwenye kesi .
Mama akaachiwa baada ya miaka mitatu, ila tayari dunia ilishaanza kunimeza kwan nililazimika kuwalea wadogo zangu mwenyewe (ingawa Mama alikuwa na hela nyingi benki) huku tukiendelea na Chuo na shule .Tulirejea TZ tukanunua nyumba njiro na mama alisema tusipende tembelea ILBORU.
Kuna siku nikaenda ILBORU….nikakutana na LOTII (mmasai, mvulana, jirani yetu, akisoma Lyamungo, akitumia muda mwingi tokea namfaham kushinda kwetu nyumbani ILBORU na nilimchukulia kama KAKA)…Akanikumbatia akalia akaniambia kwa nin tuliondoka bila kuaga hata kwa wazazi wake? Nilijaribu kumweleza akanielewa…
YAAN LEO MIMI NA LOTII NI MKE NA MUME NA WATOTO...TUKIZURURA KUSINI MWA JANGWA LOTE LA SAHARA TUTAKAVYO..asante mama KAVISHE,
Ndege mjanja hunaswa tundu bovu, baada ya kuchemka mwishowe nilisaidiwa kumpata wa kunioa 'Asante'
Mama aliwakataa wachumba zangu wawili, watatu alikuwa Mkibosho very handsome akisoma Uhandisi UDSM baba yake akiwa ni tajiri wa Hardware chains Arusha na Moshi. Mama alimkataa na akawaka kama mbogo na laana akatamka ‘Hata nife sitaki uolewe na mkibosho’
Kuna rafiki yake Mama akiitwa Mama Kavishe (Mchagga wa Rombo)akiwa Tour operator mdogo kipindi kile akanipigia simu, njoo mwanangu kuna zawadi nataka kukupa….Nilipofika akaniambia Marytina usitake kutuua mama zako kabla ya muda…”achana na huyo mkibosho” na tena naomba nikuchagulie mume….
Nikacheka…unichagulie, Ndio niruhusu nikuchagulie na hutajutia….na tunataka uolewe mapema kabla ya 23 years tupate mjukuu wa ndoa.Nakuchagulia mtu ambaye anaweza kuwa bora kwako na kwa familia. Nani huyo….nani huyo mama unataka niolewe naye..akanijibu LOTII, LOTII, LOTII…akaniambia waweza kwenda chukua funguo hamna dereva wa kukupeleka nyumban na hiyo CRUZA haiendi porini wiki ijayo nenda hata mjini (Nairobi) kajitafakari
Baada ya wiki nikarejesha gari na kukutana tena na Mama Kavishe…
Marytina: Mama alikuwa serious?
Mama Kavishe: Ndio na hata ningekuwa na binti wa kumzaa ningemwozesha LOTII,
Marytina :Lakini Mama mbona LOTII ni kama kaka yangu, na sikujua atajakuwa mpenzi wangu so mambo mengi nimemweka wazi tokea utoto? na Hajawahi kunitongoza?
Mama Kavishe : Koma na ukome…wewe Mngoni/Mchagga, LOTII Mmasai/Mmasai huo undugu uko wapi??? Hayo uliyomweka wazi ndio kinga yako kwenye huo uhusiano na tunajua anakupenda anakuheshimu ndio maana hawezi kukutongoza
Marytina: LOTII sasa mara ni mpishi, mara ni mbeba mizigo yupo yupo tu kwenye utalii bila profession sio tour guide, sio dereva, sio mpishi mwenye vyeti….kuna kipindi anakaa bila kazi miezi sita anakuwa kwao kijiweni ILBORU tutaishije mama? Ni form four tu hamna hata ndoto za kazi
Mama Kavishe: Kwa hiyo unampenda ila unakwama hapo….kwenye carrier & professionalism? We will help you to turn him around….step by step ila usimwambie hili. LOTII ana positive comments kwa kila aliyefanya nae kazi hata mimi nimefanya naye kazi kadhaa kwa uaminifu sana hivyo anaelekezeka
Marytina : Kwa hiyo ntamwanzaje wakati namheshimu, mbona kituko??? Na kama ana mtu tayari?
Mama Kavishe : Fanya uwezavyo kufanya ndani ya miezi mitatu nataka kuona ushahidi wa uwepo wa mahusiano …anzia kumpeleka DRIVING kama just rafiki na jirani…akijua nitampa CRUZA kama dereva, MKIFUNGA NDOA tutawapeleka UGANDA & KINSASHA, kisha SOUTH AMERICA, kwa kingereza , kifaransa na spaniola. Kisha German ….wewe nay eye mtakuwa Tour guides….the rest will be history ntajua mtakavyoendelea ila mkikwama tupo..
SASA HUYU LOTII NI NANI….
Utotoni nilipitia historia ngumu kidogo, tukiisha kama vitajiri miaka hiyo Arusha ILBORU, gafla baba, mjomba walitupwa korokoroni, Tukakimbilia Kenya (Mama na wadogo zangu wawili) baadae mama akakamatwa na kurejeshwa Tanzania kuunganishwa kwenye kesi .
Mama akaachiwa baada ya miaka mitatu, ila tayari dunia ilishaanza kunimeza kwan nililazimika kuwalea wadogo zangu mwenyewe (ingawa Mama alikuwa na hela nyingi benki) huku tukiendelea na Chuo na shule .Tulirejea TZ tukanunua nyumba njiro na mama alisema tusipende tembelea ILBORU.
Kuna siku nikaenda ILBORU….nikakutana na LOTII (mmasai, mvulana, jirani yetu, akisoma Lyamungo, akitumia muda mwingi tokea namfaham kushinda kwetu nyumbani ILBORU na nilimchukulia kama KAKA)…Akanikumbatia akalia akaniambia kwa nin tuliondoka bila kuaga hata kwa wazazi wake? Nilijaribu kumweleza akanielewa…
YAAN LEO MIMI NA LOTII NI MKE NA MUME NA WATOTO...TUKIZURURA KUSINI MWA JANGWA LOTE LA SAHARA TUTAKAVYO..asante mama KAVISHE,