PostGE2025 Nakuuliza Kitima, Oktoba 29 kulikuwa na maandamano au vandalism? Namna ya kukabiliana na vandalism ni ipi kwa mujibu wa imani yako?

PostGE2025 Nakuuliza Kitima, Oktoba 29 kulikuwa na maandamano au vandalism? Namna ya kukabiliana na vandalism ni ipi kwa mujibu wa imani yako?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Kwenye mandamano uwezi uwa watu wengi unauwa 2 ila sio mamia kwaiyo kunashidah kwenye mfumo
 
Naona hoja ya msingi inakwepwa na Kitima anaenda kuongelea output. Swali kama hili analiogopa kama ukoma. Hakuna mwandishi yeyote wa habari amewahi kumuuliza na akalijibu kwa usahihi.

Nataka nimuulize anijibu kule aliko. Je, hiyo tarehe kulikuwa na maandamano au vandalism?
Je, kwanini walipanga kufanya siku hiyo?

Kama hujibu maswali haya kwa ufasaha basi wewe utakuwa ndiye mfadhili wa vurugu hizo.

Nawasilisha

Swali la kijinga hilo. Hayo yalikuwa ni naandamano. Vurugu kutokea kwenye maandamano ni kawaida kutegemea na situations na hiyo siyo sababu ya kuua watu kwa maelfu.

South Africa tuliona maandamano kama hayo miaka 3 iliyopita. Waandamsnaji wakachoma mpaka malls kubwa kuliko Mlimani city na maroli ya mizigo lakini hawakuuawa kinyama hivyo na kwa wingi hivyo.

Marekani wakati wa Black life matters waliandamana na maduka yalivunjwa. Watu wakaiba na kuyachoma moto lakini hawakufa kwa wingi huo.

Hivi kwa nini haumulizi Mwigulu na serikali kipi ni kinawapa shida kutuambia ni watu wangapi waneuawa including hao police na askari anaowasema.

Kwa nini askari wajekufa kazini lakini hawazikwi kwa heshima za kiaskari kwa gwaride na bendera ya taifa? Kwa nini askari walijaribu kuzuia majeruhi wasitibiwe na kuwapeleka mortuary wakiwa hai. Na kwa nini askari waliuwa watu ambao hawakuwa kwenye maandamano bali majumbani? Na kwa nini miili ya watu wengi imepotea Dar. Ji bani amekula hiyo miili kama mizoga?

Vile vile kazi ya police ilitakiwa waxuie hiuo VANDARIZIM na siyo kuua waandamanaji.
 
Naona hoja ya msingi inakwepwa na Kitima anaenda kuongelea output. Swali kama hili analiogopa kama ukoma. Hakuna mwandishi yeyote wa habari amewahi kumuuliza na akalijibu kwa usahihi.

Nataka nimuulize anijibu kule aliko. Je, hiyo tarehe kulikuwa na maandamano au vandalism?
Je, kwanini walipanga kufanya siku hiyo?

Kama hujibu maswali haya kwa ufasaha basi wewe utakuwa ndiye mfadhili wa vurugu hizo.

Nawasilisha
Ilimu madrasatul
 
Swali la kijinga hilo. Hayo yalikuwa ni naandamano. Vurugu kutokea kwenye maandamano ni kawaida kutegemea na situations na hiyo siyo sababu ya kuua watu kwa maelfu.

South Africa tuliona maandamano kama hayo miaka 3 iliyopita. Waandamsnaji wakachoma mpaka malls kubwa kuliko Mlimani city na maroli ya mizigo lakini hawakuuawa kinyama hivyo na kwa wingi hivyo.

Marekani wakati wa Black life matters waliandamana na maduka yalivunjwa. Watu wakaiba na kuyachoma moto lakini hawakufa kwa wingi huo.

Hivi kwa nini haumulizi Mwigulu na serikali kipi ni kinawapa shida kutuambia ni watu wangapi waneuawa including hao police na askari anaowasema.

Kwa nini askari wajekufa kazini lakini hawazikwi kwa heshima za kiaskari kwa gwaride na bendera ya taifa? Kwa nini askari walijaribu kuzuia majeruhi wasitibiwe na kuwapeleka mortuary wakiwa hai. Na kwa nini askari waliuwa watu ambao hawakuwa kwenye maandamano bali majumbani? Na kwa nini miili ya watu wengi imepotea Dar. Ji bani amekula hiyo miili kama mizoga?

Vile vile kazi ya police ilitakiwa waxuie hiuo VANDARIZIM na siyo kuua waandamanaji.
Umeumia kaka.
 
Swali la kijinga hilo. Hayo yalikuwa ni naandamano. Vurugu kutokea kwenye maandamano ni kawaida kutegemea na situations na hiyo siyo sababu ya kuua watu kwa maelfu.

South Africa tuliona maandamano kama hayo miaka 3 iliyopita. Waandamsnaji wakachoma mpaka malls kubwa kuliko Mlimani city na maroli ya mizigo lakini hawakuuawa kinyama hivyo na kwa wingi hivyo.

Marekani wakati wa Black life matters waliandamana na maduka yalivunjwa. Watu wakaiba na kuyachoma moto lakini hawakufa kwa wingi huo.

Hivi kwa nini haumulizi Mwigulu na serikali kipi ni kinawapa shida kutuambia ni watu wangapi waneuawa including hao police na askari anaowasema.

Kwa nini askari wajekufa kazini lakini hawazikwi kwa heshima za kiaskari kwa gwaride na bendera ya taifa? Kwa nini askari walijaribu kuzuia majeruhi wasitibiwe na kuwapeleka mortuary wakiwa hai. Na kwa nini askari waliuwa watu ambao hawakuwa kwenye maandamano bali majumbani? Na kwa nini miili ya watu wengi imepotea Dar. Ji bani amekula hiyo miili kama mizoga?

Vile vile kazi ya police ilitakiwa waxuie hiuo VANDARIZIM na siyo kuua waandamanaji.

Je, Shoot to Kill inaruhusiwa Tanzania?

Kisheria, Tanzania HAIRUHUSU “shoot to kill” kama sera ya moja kwa moja.

Sheria inaruhusu matumizi ya nguvu ya risasi tu pale:

  1. Kuna tishio la moja kwa moja kwa maisha ya raia au askari.
  2. Mhalifu ana silaha hatari na anataka kuitumia.
  3. Askari ametoa amri ya kusimama na mhalifu anakataa na kuendelea kutishia maisha.
  4. Ni sehemu ya self-defense au defense of others.

Kipengele cha kisheria kinachotumika:

  • Penal Code, self-defense provisions
  • Police Force and Auxiliary Services Act
  • Criminal Procedure Act
  • Kanuni za Kimataifa za Matumizi ya Nguvu (UN Basic Principles on Use of Force and Firearms)
UN Principles zinasema askari anaweza kutumia nguvu hatari (deadly force) tu ikiwa:

“It is strictly unavoidable in order to protect life.”
 
Back
Top Bottom