PostGE2025 Nakuuliza Kitima, Oktoba 29 kulikuwa na maandamano au vandalism? Namna ya kukabiliana na vandalism ni ipi kwa mujibu wa imani yako?

PostGE2025 Nakuuliza Kitima, Oktoba 29 kulikuwa na maandamano au vandalism? Namna ya kukabiliana na vandalism ni ipi kwa mujibu wa imani yako?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
no 1 ana 3 hazikuwepo , no 3 ilikuwa kuthibiti majambazi

..kwa mtizamo wako kulingana na ulivyoguswa na athari zilizokupata.

..cha msingi tuheshimu mawazo ya wenzetu, na serikali iwajibike kwa wote.
 
Kitima anatakiwa aongee ukweli. Anapoongea uongo anamdanganya nani? Wote waliojaribu kupindua nchi wali fail.

..Na serikali, haswa Raisi Samia, na Waziri Mkuu Mwigulu, waongee ukweli, wasidhani Watanzania ni wajinga.
 
Maandano ni kosa kikatiba au kisheria?

Je wakiandamana kwa amani ni kosa..
Je kudai HAKI Ni kosa ki katiba au kisheria??
 
Naona hoja ya msingi inakwepwa na Kitima anaenda kuongelea output. Swali kama hili analiogopa kama ukoma. Hakuna mwandishi yeyote wa habari amewahi kumuuliza na akalijibu kwa usahihi.

Nataka nimuulize anijibu kule aliko. Je, hiyo tarehe kulikuwa na maandamano au vandalism?
Je, kwanini walipanga kufanya siku hiyo?

Kama hujibu maswali haya kwa ufasaha basi wewe utakuwa ndiye mfadhili wa vurugu hizo.

Nawasilisha
Kulikuwa matraco yako. Kwani wewe ndo unapanga siku ya watu kuandamana?
 
Vandalism nchi inaogopa wahuni wachache na kuzima net siku 10, sikia polis mmekalia kuti kavu wajesh wanawazoom tu
 
Hili swali lisipojibiwa kanisa katoliki litakuwa limejitia doa.
Maswali ya kijinga. Kwa hiyo kama ilikuwa ni vandalism ndiyo muue watu kwa risasi za moto! Na kama mliwaona ni wahalifu waliostahili kuuwawa kinyume na sheria za nchi, kwa nini mnaficha vifo vyao?
 
Naona hoja ya msingi inakwepwa na Kitima anaenda kuongelea output. Swali kama hili analiogopa kama ukoma. Hakuna mwandishi yeyote wa habari amewahi kumuuliza na akalijibu kwa usahihi.

Nataka nimuulize anijibu kule aliko. Je, hiyo tarehe kulikuwa na maandamano au vandalism?
Je, kwanini walipanga kufanya siku hiyo?

Kama hujibu maswali haya kwa ufasaha basi wewe utakuwa ndiye mfadhili wa vurugu hizo.

Nawasilisha
Najibu kichwa cha mada tu, hizo takataka chini yake sipotezi muda.

Muulize Samia Suluhu, Oktoba 29 kulikuwepo na uchaguzi?

Huna sababu ya kuuliza kuhusu hayo maandamano kama Samia hajajibu swali lako hilo.
 
Hata kama vandalism ilikuwepo ni kwasababu genge linatafuna kila kitu lenyewe na limefanya watanzania wabaki ktk umasikini wa kutupwa.

Mjibu haya yafuatayo;
1.Ni nani aliagiza watu wapigwe risasi na kuuawa vile?
2.Wapigaji risasi wale ni wakina nani na wapo wapi?
3.Ni kwanini uchaguzi ufanyike kwa namna OVU kwa kiwango kile?
4.Watu waliokufa wapo wapi?
5.Wataongozaje taifa la watu wasiowataka?
6.Ni nani anayeteka na kuua watanzania?
Waliotekwa wapo wapi?

Haya maswali wayatafakari na wayazingatie

"MAMAA AMKA, AMKA MAMAAA" sauti hii ikinijia machozi yanashuka.
Eeee Mungu shusha pigo lako.
 
Naona hoja ya msingi inakwepwa na Kitima anaenda kuongelea output. Swali kama hili analiogopa kama ukoma. Hakuna mwandishi yeyote wa habari amewahi kumuuliza na akalijibu kwa usahihi.

Nataka nimuulize anijibu kule aliko. Je, hiyo tarehe kulikuwa na maandamano au vandalism?
Je, kwanini walipanga kufanya siku hiyo?

Kama hujibu maswali haya kwa ufasaha basi wewe utakuwa ndiye mfadhili wa vurugu hizo.

Nawasilisha
Utekaji, mauaji, uchaguzi uliofanyika, uharibifu wa mali vyote ni vandalism
 
Naona hoja ya msingi inakwepwa na Kitima anaenda kuongelea output. Swali kama hili analiogopa kama ukoma. Hakuna mwandishi yeyote wa habari amewahi kumuuliza na akalijibu kwa usahihi.

Nataka nimuulize anijibu kule aliko. Je, hiyo tarehe kulikuwa na maandamano au vandalism?
Je, kwanini walipanga kufanya siku hiyo?

Kama hujibu maswali haya kwa ufasaha basi wewe utakuwa ndiye mfadhili wa vurugu hizo.

Nawasilisha
Amekujibu John Heche. Mtafute
 
Naona hoja ya msingi inakwepwa na Kitima anaenda kuongelea output. Swali kama hili analiogopa kama ukoma. Hakuna mwandishi yeyote wa habari amewahi kumuuliza na akalijibu kwa usahihi.

Nataka nimuulize anijibu kule aliko. Je, hiyo tarehe kulikuwa na maandamano au vandalism?
Je, kwanini walipanga kufanya siku hiyo?

Kama hujibu maswali haya kwa ufasaha basi wewe utakuwa ndiye mfadhili wa vurugu hizo.

Nawasilisha
Usipokuwa na akili si lazima ujionyeshe hadharani!
 
Hata akijibu haitasaidia! Hoja nani aliyeamrisha Mauaji yale?
Lengo lake lilikuwa nini?
 
Hamna uongozi ambao hauwezi kushuka. Shida ndo hio, kila mtu mbabe. Mtaumia sana kwa namna hii. Shuka, mtoeni mama yenu kafara aondoke. Mnavofanya kubeza wananchi ndo mnagharimu chama kizima. Mark my words ccm mwakani kinaenda kufutwa na mtahangaika wote kutafuta chama kuingia mrudi bungeni mtakosa. Nyie ni machukizo mbele ya Mungu. Badala ya kushauri viongozi wenu mambo ya ukweli mna chochea moto. Hiko chama kinaenda kufutwa. Watu wameandamana nchi nzima mnaleta bla bla… aiseee mwisho wa kiburi huwa ni kifo, kasome biblia uone farao alivokufa. Alikufa na jeshi lake lote sababu tu walishindwa kumwambia ukweli… walikufa nae, sasa nyie endeleeni
 
Back
Top Bottom