Nakusudia kuwashitaki Airtel

Nakusudia kuwashitaki Airtel

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,521
Reaction score
96,267
Wanajamvi tangu kombe la dunia limeanza hawa Airtel wamekuwa wakinilazimisha kunitumia updates za mechi zinazochezwa na kukata ela toka kwenye credit,wakati sijaomba kujiunga na huduma hiyo,nimewapigia huduma kwa wateja wamesema niandike STOPNOW kwenda 15033,lakini msg haipokelewi,huu si wizi?
 
niliwatukana juzi wakaniambia niandike stop now ila msg bado zinakuja ina maana wanakata pesa zangu bila ridhaa yangu.
~~~~~~~~~~~~~
MATOKEO: Netherlands 0(4) - (3)0 Costa Rica. TAKWIMU: Netherlands-Umiliki mpira 69%,faulo-15,kona-11 Costa Rica-Umiliki mpira 31%, faulo-14,kona-1.
kama hizi
 
Mm nshatupa line Yao kila nkijiunga na kifurushi hawanipi bundle ya internet..........nmejaribu kuwapigia simu wakanambia watarekebisha....mpk Leo hawajarekebisha nkaamua kuitupa line Yao!!
 
Mm nshatupa line Yao kila nkijiunga na kifurushi hawanipi bundle ya internet..........nmejaribu kuwapigia simu wakanambia watarekebisha....mpk Leo hawajarekebisha nkaamua kuitupa line Yao!!

Duh!!!
 
Mm nshatupa line Yao kila nkijiunga na kifurushi hawanipi bundle ya internet..........nmejaribu kuwapigia simu wakanambia watarekebisha....mpk Leo hawajarekebisha nkaamua kuitupa line Yao!!

mimi nilitupa zamani, ilikuwa kila nikiweka bundle line inakuwa haiconnect internet, nikiwapigia wananiambia wanafanyia kazi baada ya 24hrs itakuwa safi, hakuna kitu mpaka bundle siku zinakwisha bila kutumika! nimeshajifunza sasa hivi nitakuwa narekodi mazungumzo yangu na kampuni yoyote inayonipatia huduma, kuna fursa ya kujipatia pesa kutokana na huduma zao mbovu!
 
mimi nilitupa zamani, ilikuwa kila nikiweka bundle line inakuwa haiconnect internet, nikiwapigia wananiambia wanafanyia kazi baada ya 24hrs itakuwa safi, hakuna kitu mpaka bundle siku zinakwisha bila kutumika! nimeshajifunza sasa hivi nitakuwa narekodi mazungumzo yangu na kampuni yoyote inayonipatia huduma, kuna fursa ya kujipatia pesa kutokana na huduma zao mbovu!

Mimi nlienda mpaka head office zao za pale morroco Ila hawakunisaidia....nikawahama
 
mambo kama haya anza na TCRA watakusaidia sana.
 
Wanajamvi tangu kombe la dunia limeanza hawa Airtel wamekuwa wakinilazimisha kunitumia updates za mechi zinazochezwa na kukata ela toka kwenye credit,wakati sijaomba kujiunga na huduma hiyo,nimewapigia huduma kwa wateja wamesema niandike STOPNOW kwenda 15033,lakini msg haipokelewi,huu si wizi?

Niwizi ndio,mi nimechoka nao kabisa ukizingatia mimi na mpira ni vitu viwili tofauti,nishaanza kufikiria kwenda tigo.
 
TCRA wataishia kupewa rushwa tu ila malalamiko ya wengi hawayafanyii kazi
 
Waliponitumia hy sms ya matokeo nika reply kwa kuwatukana, tena mimi na utumwa wa akili wapi na wapi? Nimshangilie ronado wa marekani halafu nteze john, tom kipese,bakari malima atawashangilia nani?
 
nilitumia airtell kipindi flani ikawa inasumbua kwenye internet nikatupa laini yao mpaka leo sitotumia tena mtandao wa airtel
 
Mimi jana wamenikata buku jero langu kwa upuuzi wao huu wakulazimisha watu kutumiwa update za kombe la dunia wakati hata sijaomba hiyo huduma, niliwapigia simu wanajikanyaga. Nimeona dawa yao unawakopa kifurushi cha jirushe cha wiki nzima mpaka kombe la dunia liishe tuone watakata nini isitoshe wengine niwapenzi wa mchezo wa lagibi siyo mpira.
 
Mimi jana wamenikata buku jero langu kwa upuuzi wao huu wakulazimisha watu kutumiwa update za kombe la dunia wakati hata sijaomba hiyo huduma, niliwapigia simu wanajikanyaga. Nimeona dawa yao unawakopa kifurushi cha jirushe cha wiki nzima mpaka kombe la dunia liishe tuone watakata nini isitoshe wengine niwapenzi wa mchezo wa lagibi siyo mpira.

Mkuu unawakopaje hawa washenzi maana wamezidi kunionea, nataka namimi niwakomoe sasa.
 
Yupo bize kugombania urais badala ya kushughulikia malalamiko ya wengi

Huyu hasijidanganye kama hata kura lakimoja anaweza kupata,akahubiri katiba ya ccm kama babake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom