Nakusubiri ujipendekeze...

Nakusubiri ujipendekeze...

Bishop Hiluka

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
7,147
Reaction score
14,708
snake.jpg
 
Huyo nyoka nahisi anaweza kuwa na albinism

ni kweli sijawahi ona nyoka mweupe. Hawa wagombea wetu wa mwakani wakijua ana asili ya albinism mbona atageuka chambo manake huyo hata umimkata mkia hakuna kesi.
 
Albino Python. Chatu mwenye ulemavu wa ngozi. Hali hii hutokea sana kwa nyoka wa aina hii. Nyoka huyu huzaa na hatagi mayai kama nyoka wengi wafanyavyo.
 
Heading ungeweka nyoka ili wengine tupite,ona sasa umeniharibia usiku wangu!!!!!!
 
mbona sura yake imekaa kiBaby baby,
sijui hata kama anauma huyu.
hata mkia unamshika na picha unapiga nae.
 
MziziMkavu mkuu wangu nyoka anaishi miaka mingapi?
Nyoka ni watambaachi au reptilia wasio na miguu. Kuna takriban spishi 3,000 duniani wako kwenye mabara yote nje ya Antaktiki na Aktiki.
Kama reptilia wote wana damu baridi na ngozi ya magamba. Wote ni wala nyama na spishi mbalimbali hutumia sumu kwa kuvionda lakini nyoka walio wengi hawana sumu wanashika windo kwa miili yao au kwa mdomo tu.
Wote wanazaa kwa njia ya mayai lakini spishi kadhaa hubeba mayai ndani ya mwili hadi wadogo wamekua tayari.
Mijusi wasio na miguu wanafanana sana na nyoka lakini nyoka hawana makope machoni wala masikio ya nje.
Kuna nyoka ndogo wenye sentimita kumi tu wakiwa wazima na nyoka kubwa hadi urefu wa mita 7.6. Nyoka anaweza kuishi kuanzia miaka 5 mpaka miaka 7tu Mkuu.@Marire
 
Back
Top Bottom