Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,140
- 56,601
Baba Askofu umesema Mengi alirudi kundini kwa kubariki Ndoa yake na Bi Jack mwezi May mwaka 2014.Katika huu mwaka mama Mercy Anna Mengi alikuwa bado yupo hai.
Biblia inasema katika kitabu cha Marko 10:9 Alichokiunganisha Mungu basi Mwanadamu asikitenganishe.
Katika kitabu cha Malaki 2:16a Biblia inasema Nachukia talaka,asema Bwana Mungu wa Israeli.
Any way Ngoja tu niseme maisha ya ukristo ni lazima kufuata misingi ya ukristo.
Asante sana Baba Askofu.
1 Wakorintho 7:11b unasema Mume naye asimpe talaka mkewe.
Biblia inasema katika kitabu cha Marko 10:9 Alichokiunganisha Mungu basi Mwanadamu asikitenganishe.
Katika kitabu cha Malaki 2:16a Biblia inasema Nachukia talaka,asema Bwana Mungu wa Israeli.
Any way Ngoja tu niseme maisha ya ukristo ni lazima kufuata misingi ya ukristo.
Asante sana Baba Askofu.
1 Wakorintho 7:11b unasema Mume naye asimpe talaka mkewe.