sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
kuchagua naweza ila nasubili kauli ya mama tu
Aaaah bana wewe.....kauli gani sasa?......zubaa wenzako wakuwahi!
kuchagua naweza ila nasubili kauli ya mama tu
Aaaah bana wewe.....kauli gani sasa?......zubaa wenzako wakuwahi!
mmmm?........ haya bwana salamu zimefika,na wewe ukinionea sweetlady mwambie natamani mama amchague
natamani kura ya mama ikudondoke uone ndio utajua nini namaanisha
Hehehehe mie pia natamani kura idondoke upande wangu ili nianze kufaidi hayo manoti na mama lol!
nami natamani kweli angalau uzipunguze
Hahahaha haya na tuombe kwa pamoja mama akija kura yake isiharibike!
Nipo sweetlady. napunguza ukali wa starehe za weekend hii ili kesho niwe a serious employee.
Safi sana lol....hujambo lakini eeh?
Mi mzima wa afya njema....nilikunywa sana mapombe ili kupoteza mawazo baada ya kugundua kumbe umenifanya kama spear taili sweetlady.....unanitafuta kwa misimu utafikiri ujio wa mvua za masika
Tobaaaa Ndahani futa au thibitisha kauli yako kuwa nimekufanya spea tairi........mimi huyu huyu nikufanye wewe spea tairi????......sio rahisi na haitokaa itokee mpendwa.......hili hata moyo wako utakuwa shaidi yangu!......hebu badilisha hiyo kauli manake najisikia kulia mwenzio!
Kumbe bado na hangover...nilifikiri ni wewe...nimesahau kabisa ni nani tena sijui...aaah sweetlady wa ukweli.
Ruhazwe JR anatafuta mchumba .....vipi wewe ushapata mchumba?Ruhazwe na sl kuna nini hapa?
Hahahahah .....lol
Hapa sasa tuko pamoja manake nimecheka kwa loud spika........kusingiziwa inauma ati!