nakupenda sana mama yangu mamndenyi

Ruhazwe JR

JF-Expert Member
Jan 31, 2011
3,403
920
shikamoo mama yangu Mamndenyi

nakupenda sana mama,lakini mama upamoja na kukuhudumia kila ukipendacho kwakua mwanao nimejaliwa mapesa na mwenyezi mungu,mali na kila kitu kwa leo najiskia nikupe zawadi hii mama yangu kwaajili ya mahemezi ya mwezi,siunajua tena mwisho wa mwezi huu
images
images


pamoja na
images
images


imgres


Alafu mama nimechoka kuishi bila mke nimuoe nani?
 
Last edited by a moderator:
shikamoo mama yangu Mamndenyi

nakupenda sana mama,lakini mama upamoja na kukuhudumia kila ukipendacho kwakua mwanao nimejaliwa mapesa na mwenyezi mungu,mali na kila kitu kwa leo najiskia nikupe zawadi hii mama yangu kwaajili ya mahemezi ya mwezi,siunajua tena mwisho wa mwezi huu
images
images


pamoja na
images
images


imgres


Alafu mama nimechoka kuishi bila mke nimuoe nani?

Muoe Yummy .....ukishindwa BADILI TABIA atakufaa.......ukitaka wa ukweli zaidi mchukue cacico .....nimekutajia hao manake ndio wako single kwa sasa baada ya babu Asprin kuwabwaga kwa kishindo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom