Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
shikamoo mama yangu Mamndenyi
nakupenda sana mama,lakini mama upamoja na kukuhudumia kila ukipendacho kwakua mwanao nimejaliwa mapesa na mwenyezi mungu,mali na kila kitu kwa leo najiskia nikupe zawadi hii mama yangu kwaajili ya mahemezi ya mwezi,siunajua tena mwisho wa mwezi huu
pamoja na
Alafu mama nimechoka kuishi bila mke nimuoe nani?
nakupenda sana mama,lakini mama upamoja na kukuhudumia kila ukipendacho kwakua mwanao nimejaliwa mapesa na mwenyezi mungu,mali na kila kitu kwa leo najiskia nikupe zawadi hii mama yangu kwaajili ya mahemezi ya mwezi,siunajua tena mwisho wa mwezi huu
pamoja na
Alafu mama nimechoka kuishi bila mke nimuoe nani?
Last edited by a moderator: