Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
The Analyst kwa kweli kama huyu ni mkeo yuko hivo na umeamua kumvumilia yapaswa upewe kombe? mie mtu asiyejali watoto wangu hana nafasi kwangu, lakini huwezi jua lazima kuna kitu unamboa maybe,jiangalie wapi unakosea, haiwezekani mwanamke akazanie kukaa na mashosti wake wa kike na kiume wewe uone sawa au umgombeze na kumuacha hapo mwanzo ulipoona asikii ulitakiwa kufanya kitu, whether kuongea na wazee au watu wake wa karibu, huyu mwanamke ana tabia za ajabu sana