Nakupenda sana laazizi Bantu Lady

Nakupenda sana laazizi Bantu Lady

sungura1980

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2013
Posts
1,909
Reaction score
1,225
Toka mwanzo wa ulimwengu,waliumbwa wawili,mke na mme Bantu lady na Sungura 1980!

Hivyo kilichounganishwa,,mwanadamu hasikitenganishe!Nafurahi kuwa na wewe malkia wangu Bantu lady,asante kwa kulipokea pendo langu!

Nakupenda nakupenda nakupenda malkia wangu Bantu lady!
 
Last edited by a moderator:
Kila la kheri ila huyo bi dada hajakaguliwa bado

cc. Asprin
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wewe hicho cheo hauna hata kama ni mkeo lazima tujiridhishe
 
Asante sana malkia wangu,nitakupenda mpaka mlima Kilimanjaro uwe tambarare,mpaka maji bahari ya Hindi yakauke,watu waende Zanzibar kwa basi!

Sungura acha uwongo wake utampenda hadi mlima kilimanjaro ufanye je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom