Nakupenda mke wangu Marium!

Nakupenda mke wangu Marium!

Inauma sana upendo kama huo siku utagundua kuna mwenzio anakusaisia
Mke wangu Marium,nampenda sana,nikiwa nae ndani huwa anapata raha sana,ninafua, ninapika..ninamsaidia kuosha vyombo...,sometime ninamuogesha mtoto!

Na ninarudi nyumbani SAA 10 jioni!

Mama natashahrani,nakupenda sana!
 
JF mmezidi uchawi aisee..hamna hata comment positive...duhhhhhhhhhh
 
New member una shida kweli,sasa sisi sifa za mkeo za nini hapa
 
Mke wangu Marium,nampenda sana,nikiwa nae ndani huwa anapata raha sana,ninafua, ninapika..ninamsaidia kuosha vyombo...,sometime ninamuogesha mtoto!

Na ninarudi nyumbani SAA 10 jioni!

Mama natashahrani,nakupenda sana!
Wachaga wanajua kupenda wake zao sana,,, si mlimuona hata mzee wetu Mengi
 
Hilo jina nimemkumbuka Mariam birian mdada wa matopen
 
Back
Top Bottom