Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He is mybestest friend,.
mbona hiyo picha siyo ya unaye mdhania.He is mybestest friend,.
....na style yako hiyo hiyo ya msamba??
mbona hiyo picha siyo ya unaye mdhania.
He means EVERYTHING in our life !
Mwokozi wetu
kwani nani kasema anaiabudu hiyo picha! hiyo ni ishara tu wewe kuonyesha kuwa huyo mtu alifanywa hivi. hata israel kwenyewe kuna picha na sanamu za hivyo nyingi wameziweka kwenye maeneo mbalimbali aliyoishi. Na wanaoabudu jiwe utawasemaje?HUU
NI UJINGA NA UTUMWA WA HALI YA JUU. MIMI NINAVYO JUA KIPINDI CHA YESU
CAMERA ZILIKUWA HAZIJAGUNDULIWA KABISA, SASA HIZO PICHA NANI ALIKUWA
ANAMPIGA?
- Wazungu wanapiga picha na nyie mnaziabudu, huu ni ujinga, mimi ni
mkristo lakini sikubaliani na huu ujinga wa kuabudu picha za wazungu
- KUNA PICHA MOJA NILIWAHI KUONA ETI SHETANI NI MWEUSI
yesu wangu ninakupenda wewe ni kila kitu kwenye maisha yetu!ijumaa kuu njema!
huu ni ujinga na utumwa wa hali ya juu. Mimi ninavyo jua kipindi cha yesu camera zilikuwa hazijagunduliwa kabisa, sasa hizo picha nani alikuwa anampiga?
- wazungu wanapiga picha na nyie mnaziabudu, huu ni ujinga, mimi ni mkristo lakini sikubaliani na huu ujinga wa kuabudu picha za wazungu
- kuna picha moja niliwahi kuona eti shetani ni mweusi
HUU NI UJINGA NA UTUMWA WA HALI YA JUU. MIMI NINAVYO JUA KIPINDI CHA YESU CAMERA ZILIKUWA HAZIJAGUNDULIWA KABISA, SASA HIZO PICHA NANI ALIKUWA ANAMPIGA?
- Wazungu wanapiga picha na nyie mnaziabudu, huu ni ujinga, mimi ni mkristo lakini sikubaliani na huu ujinga wa kuabudu picha za wazungu
- KUNA PICHA MOJA NILIWAHI KUONA ETI SHETANI NI MWEUSI