Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

weraweraaah mpasuke sasa!! mme ndo huyo mshamjua,na tunapendana zaidi ya jana!!.mtajiju

Nimekuchagua wewe uwe wangu.
Wangu wa maisha wa kufa na kuzikana usijali mengi maneno ya watu wasemayo yaliyopita sindwele tugange yanayokuja, nakupenda weeweeeeee malaika wa moyo wangu nakuhusudu weeweeeeee ua la moyo wangu.
 
Ngoja cku nijitoe ufahamu nitiririke..aftr 2 yearz na wew ulete lisledi humu kushkuru jf kwa kukupatia hubby

Hee, miaka miwili yote nasubiri nini? Yani kesho yake tu naanzisha thread jf imenipa mume....
 
Hee, miaka miwili yote nasubiri nini? Yani kesho yake tu naanzisha thread jf imenipa mume....

wewe subiri miaka miwili jamaa bado anajipanga si unajua bado anasoma au haujaelewa ulivoambiwa usubiri miaka miwili?
 
Back
Top Bottom