Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Nakupenda Jf! Umenipa Hubby~love!.

Habari!,..

Nina Furaha Sana sanaaa na Naishukuru kipenzi changu Jf!!.Imenipatia Mme Kipenzi,laazizi anaejua nini thamani ya mwanamke!!.anaejua kujali na kupenda kweli...najisikia kupendwa,najiona mwenye bahati sana.

trust me,jf kuna wanaume wazuri sana waojua kupenda na kuwa na relationshp nzuri!!.

to yo >hubby najua umepasoma hapa,nataka ujue i love u more than yesterday..ur the reason i smile everyday,ur special hubby,love me more nizidi kupagawa!!.

mahaba ninyongeee mieeee!!,nikafie mbali kwenye kifua cha @_____ __,love u nyang'anyang'a!!.

mnaotafuta hapa wapenzi,msijali mtapata tu,na mlopata hongereni! lolz.....

GOD WILL BLESS U ALWAYS, PRAY & STAY IN THE RIGHT ATTITUDE WITH. HIM!!
I. WISH. OL DA BEST!!!

Mom Fay 🙂
 
From the moment she spoke her name mimi moyo ulikua chapachapa,
 
Usije kulia lia apa akianza kuzingua ukaisingizia jf tena!
 
leo mmetongozwa
kesho mmelalwa
kesho kutwa mmefiwa
jana mlitaka kuanzisha saccoss ya wapweke
juzi kati mahb sijui kufanyaje!
kheeeeee na mnawatoa wapi wanaume wasiowakunja vizuri mkawa na akili hata za vicoba?

Atiiiii wasiowafanyaje????!!!
 
Mmejaribu kuvunja maloveee ya Lara1 na Matola mmshindwa mnataka kuvunja ya kwetu hamtoweza na wanafiki nyote tumewachora tu, kwa niaba ya my wife napenda kuwashukuru mliotutakia heri katika safari yetu ya maisha nasema asanteni sana.
 
Mmejaribu kuvunja maloveee ya Lara1 na Matola mmshindwa mnataka kuvunja ya kwetu hamtoweza na wanafiki nyote tumewachora tu, kwa niaba ya my wife napenda kuwashukuru mliotutakia heri katika safari yetu ya maisha nasema asanteni sana.

ooh sweetie! kwako mpaka nakosa cha kusema!!.sikuachi ng'oo hata wasemeje cha utamu wangu,usingz wangu,pumz yangu,laaziz my kila kitu changu.
 
Mmejaribu kuvunja maloveee ya Lara1 na Matola mmshindwa mnataka kuvunja ya kwetu hamtoweza na wanafiki nyote tumewachora tu, kwa niaba ya my wife napenda kuwashukuru mliotutakia heri katika safari yetu ya maisha nasema asanteni sana.
Hahahahaha daaa jf yatoshaaa!
 
Khaaa sa tuseme nini watu wameanzisha uzi wametuachia wageni wao waneingia chumbani....

ndo tumekuja....wapi honey wangu wa moyo,aloshikilia mishipa yangu ya damu hadi ya fahamu Arovera bby,nakupenda hatar hatar
 
Last edited by a moderator:
ndo tumekuja....wapi honey wangu wa moyo,aloshikilia mishipa yangu ya damu hadi ya fahamu Arovera bby,nakupenda hatar hatar

wacha waseme mwisho watalala hapo kwako nimefika kituo cha mwisho.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom