"Nakuomba mke wangu,niwekee Limbwata"

"Nakuomba mke wangu,niwekee Limbwata"

Alisikika rafiki yangu wa karibu kabisa akisema maneno hayo! Ni Mtu wa makamo tu kama miaka 35 hivi, Kasema yaani siku hizi anaweza akakaa hata mwezi na nusu au zaidi hana hamu ya ku do na mkewe isipokuwa hawara yake tu! Naye bado anampenda mke wake ishu inakuwa ngumu kufanya nae mapenzi sasa afanyeje? mi nimemwambi sio busara sijui wadau mnasemaje! No abusive language plz!

Keshawekewa na hawara yake ndo maana anampenda sana. Chezea hawara, wewe unafikiri ni wa temporary, yeye anajifikiria ni wa permanent. Amuombe mkewe amwondolee hilo libwata alilopewa na hawara yake.
 
Hii ngumu kumeza.. Labda nishushie na kiroba!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
That is so sweet, Amen for the wonderful prayer!
Uzidi kubarikiwa na kuwa chombo cha neema.
amen mamii. kumbuka kwaresma hii kusali zaid na kumbuka kutumikia kanisa. angalia wito wako uko wapi kama ni kwenye vyama vya kitume tumika na Mungu atakusaidia kama ni karismatiki tumika na Mungu atakuwa na wewe.

tuzidi kuombeana zaid huku tukikumbukana katika kutakiana baraka na napenda niwe wa kwanza kukutakia baraka za bwana wetu Yesu Kristo ziwe juu yako na juu ya familia yako. Mungu akuangazie nuru ya uso wake mchana na usiku na akubariki kila uingiapo na utokapo na kukupa amani yake. baraka hizi pia ziambatane na mpendwa wangu dada Kaunga popote pale alipo.
nawapenda sana sana
 
Last edited by a moderator:
kama hana hamu nae mkewe mwambie ampost kwangu nimshugulikie kama anavomshugulikia hawala ake!
 
Kweli kazi ipo....ana wish afanyiwe limbwata...lolz
Yale yale..if wishes were horses, beggars would ride
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom