Nakuomba leo moja tulale wote........

Nakuomba leo moja tulale wote........

Hizi ndoa hizi, hizi ndoa....
hivi hamuwezi kuvituliza vidudu vyenu????
mke kasafiri wiki tu unawaza kufanya akiumwa mwezi je?

Vipi mbona humzungumzii huyo mke malaya anayelazimisha kupewa dushulele lisilo la mume wake?
 
Hii insfanana na yule jamaa aliyekwenda mtafuta mke wa mtu Moro kisa zamani walikuwa wapenzi.

Mke wa mtu akamwambia jamaa mwaka wapili natumia ARV,sasa eti jamaa akalia kwa uchungu

ha ha ha ha ha km sikosei alikuwa Arovera huyo , ndugu.
 
Last edited by a moderator:
Hizi ndoa hizi, hizi ndoa....
hivi hamuwezi kuvituliza vidudu vyenu????
mke kasafiri wiki tu unawaza kufanya akiumwa mwezi je?

Tatizo ni kwamba hawa watoto wamesahau njia na mbinu za mababu zao...

Hakuna kipya katika dunia hii, sema tu vijana hawataki kunfungua encyclopedia!
 
Nenda uone nakusoma tu kiaina bora ungenyamaza kuliko kuleta huku jf nasema nenda nikuoe na wewe
 
Acha ku-endekeza ujinga, funga milangi yako lala hakuna kwenda kwake na akija kwako usimfungulie
 
ndoa za sahizi ni sawa nakupuliza moto kwenye kuni isiyokauka
 
UPDATE:

wakuu dakika 3 zilizopita yaani ilikua saa 3:07 amenipigia tena simu kutaka kujua kua nitaenda au laaa nimemuambia kua nimetoka na nitachelewa kurudi kaniambia hata nirudi saa 6 usiku basi niende na nisipoenda basi atajua yeye la kufanya

Yaani niko home kwangu nimeshajibwaga kitandani kupuuzia huu mchezo mchafu niombeeni nisikose ujasiri

akuombee nan jiombee wenyewe
 
Wakuuu habari zenu?

Natumai muwazima wa afya?

Si zamani sana niliweka ukumbini kua mke wa mtu ambaye alikua ni x wangu ananisumbua kwa kutaka tuwe wapenzi na kibaya sote tuko katika ndoa na familia pia mimi niko na watoto 2 yeye anao 4.

Ni muda wa nusu saa uliopita yaani ilikua ni saa mbili kasoro dakika 5 za usiku huu nimepokea simu kwa namba ngeni ikiniomba niilipie kwa kuwa yeye hana salio nilipuuza ila alipiga zaidi ya mara 3 nikaona ngoja nimpigie isijekua ni mame chanje (my wife) kupiga nakutana na sauti ya x wangu baada ya salamu aliniambia hivi "mahiri najua mke wako hayupo hii ni wiki ya tatu hadi leo nimeulizia nikaambiwa hajarudi nakuhitaji usiku wa leo saa 4 uje kwangu na jiandae kulala kwangu unipe kitu nilichokikosa kwa miaka kadhaa nakuomba usinikatalie japo kwa leo tuuu halafu ukiwa hutotaka kuendelea nami nitaheshimu maamuzi yako na kukuacha uishi salama na familia yako"

Ni kweli kabisa wife hayupo na hali hii ya mawingu inanipa shida sana na najua kua nae mume wake ameenda msibani hawezi kurudi kwa wiki hiii.

Akili inaniambia nipashe kiporo hichi ila najua kua nikipasha kiporo kitaniganda.
La zaidi ni kua namuogopa mungu nitamjibu nini siku tukikutana kwa kulala na mke wa mtu najua hata nijifiche vipi mungu ataniona.

Jamani ushauri wenu

Miongoni mwa vifo vingi dar, ni pamoja na vinavyotokana na kuchukuwa wake za watu pamoja na kudhulumu au kuiba mali za watu wengine
 
dah mambo ya kulala kwa mtu mwiko....njemba ikirudi ghafla utafanyaje?experience yangu kwenye mambo ya sex ni kwamba you have arleady made up your mind on what to do,hapa tunakupigia kelele tu
 
Qur'an 17:32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.
 
FaizaFoxy aya hio ndio inayoniumiza kila nikiifikiria na sio hio tuuu na hile inayosema mzinifu mwanaume au mwanamke aliokua ameshaowa basi wapige mawe hadi kifa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom