Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,439
AsanteTupo juu
AsanteTupo juu
Ndani ya ghetto ni mengi yashatukuta Lakini masela bado tunakomaa kutafuta/ Bado tunazisaka hata kwenye vichaka Atafutae hachoki akichoka ndio ameshapata /Japo sometimes kile kitu unachopata ni tofauti kabisa na kile unachotaka/ Ila mwanaume lazima ujifunze kuridhika kwani ukichagua sana hukawii kutoka kapaNyimbo za ngwair nilikuwa hazielimishi jamii bali kusifia ngono na gambe na imagination za kumwaga
Mstari konki unaeleweka na unagusa hisia piaKipaji ka ngwear,
Bahati mapande aliwagea
Ilikuaje waache ulaji wa mjani ukamuelemea?
isho_boy rudi hapa ufute kauli yakoNdani ya ghetto ni mengi yashatukuta Lakini masela bado tunakomaa kutafuta/ Bado tunazisaka hata kwenye vichaka Atafutae hachoki akichoka ndio ameshapata /Japo sometimes kile kitu unachopata ni tofauti kabisa na kile unachotaka/ Ila mwanaume lazima ujifunze kuridhika kwani ukichagua sana hukawii kutoka kapa
Na usione tumepinda migongo, ukadhani ni vibyongo
Pengine ni ufupi tu wa mlango
We endelea kula bia acha mi nikapate gongo
Mradi wote tuwe stim ndio life ya kibongo
~MSELA~
Jamaa alikuwa na future nzuri sana kichwani kwake ila wadau waliififisha ikabaki kuwa ndoto tuLengo Ni kuwa miliongwea,kwenda club na machizi halafu dili zote kwa ngwea.
Apewe mtaaaMwanachemba halisi, tutamkumbuka daima.