Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
zamani kulikuwa hakuna kona baa....
Sure....hata vitabu vyetu vya lugha vilikua na title kama hizi.....
Watoto wageuka Mawe
Tola alia gizani
Mwanangu pepe huna masikio
Sadiki na Sikiri
Twende Tukawinde
Musa Mtoto Shujaa
Msema kweli achaguliwa kuwa Diwani
Sizitaki mbichi hizi
Mwenge nk....
Zamani ilikuwa raaha sana...michezo kama kibaba baba na kima mama ilikuwa inakutambulisha kwenye Game....Kulikuwa na mchakamchaka kwenye kila shule......then JKT....full kulipenda taifa lako......siku hizi sasa..................................