spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 6,030
- 15,587
Mwshoni mwa mwez wa July nilifikwa na jambo kubwa katika maisha yangu.
Ilkua ni kumpoteza mtu ambaye nlkua na kila sababu ya kuamka na kupambana ili aone matunda yangu siku moja. Mungu alimchukua mpendwa babangu
kweli nmejfunza japo jipya jina halisiHaya ndio maisha na changamoto zake. Pole mkuu.
Shukrani sana mkuu JoanahPole sana spidernyoka
Kuna muda unafikwa na jambo hadi unajiona huna sababu ya kuamka kesho
Lakini Mungu ni mwema....ameweka tumaini jipya moyoni mwetu ambalo linatusaidia kuvuka maumivu tunayoyapitia
Apumzike kwa amani baba yetu mpendwa
Kweli kaka yatima hadekiPole sana mkuu na karibu kwenye kundi la mayatima, amini kwamba ipo siku tutaonana tena na wapendwa wetu, pia kumbuka YATIMA HADEKI.
asante mkuuPole sana mkuu
Mungu ampe kauli thabit baba yetu
Amina mkuuPole sana Mungu aendelee kukutia nguvu.
Amina nduguPole sana, mola awe na wewe katika mapito yako
Asante mkuuPole sana kwa msiba
Pole sana,.Mungu akutie nguvuMwishoni mwa mwezi wa July nilifikwa na jambo kubwa katika maisha yangu.
Ilikua ni kumpoteza mtu ambaye nilikuwa na kila sababu ya kuamka na kupambana ili aone matunda yangu siku moja. Mungu alimchukua mpendwa babangu na kuniacha nisijue thamani ya maisha kwa muda ule baada ya kukubali na kuona sababu ya kuendelea kuishi.
Nashukuru Mungu sasa nipo imara na nsharud katika hali yangu ya kawaida.
Inna lillah wainna illahi rajiuun.