Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,510
- 7,517
Dr. Rutasitara alikuwa mshauri wa uchumi.Awamu ya Shujaa Magufuli sijawahi kusikia kama ana Washauri ama wa Uchumi au hata Siasa
Dr. Rutasitara alikuwa mshauri wa uchumi.Awamu ya Shujaa Magufuli sijawahi kusikia kama ana Washauri ama wa Uchumi au hata Siasa
Washauli wa magufuli na mkapa walikuwa vizulisanaWakati wa Mkapa Kanali Nsa Kaisi na mzee Kingunge walikuwa Washauri upande wa Uchumi na Siasa
Awamu ya Shujaa Magufuli sijawahi kusikia kama ana Washauri ama wa Uchumi au hata Siasa
Naomba kuelimishwa umuhimu wa hawa Washauri
Eid mubarak!
Kwa hiyo huyo jamaa naye ni mfuasi wa "upinde wa mvua"!!??Wamekuachia leo hao Father's hapo Center Msimbazi?
Jilinde huku mtaani mnakamatwa Dr Nduku!
Dr mbona kama unahitaji uangalizi wa madaktari wenzio?Wewe ni mjinga sana, Rais ana washauri 13, kaa kimya kuficha upumbavu wako.
Unalipwa bei gani kila siku kupost pumba JF?
Wote hao Samia ame wa outperform na pia nyakati zinabadilikaWakati wa Mkapa Kanali Nsa Kaisi na mzee Kingunge walikuwa Washauri upande wa Uchumi na Siasa
Awamu ya Shujaa Magufuli sijawahi kusikia kama ana Washauri ama wa Uchumi au hata Siasa
Naomba kuelimishwa umuhimu wa hawa Washauri
Eid mubarak!
Na mharibifu wa Kila kituMagu, one man army...
😃😃😃Na mharibifu wa Kila kitu