Hii story yako imenikumbusha miaka mingi nilifanya kazi katika mradi wa Afya ulisimamiwa na nchi za Ulaya. Boss wetu alikua mama wa Kizungu. Huyu mama ugonjwa wake ulikua ben ten wa Kiafrika.
Alimpata kijana mmoja alikua mpiga debe wa mabasi lakini alikua na sura ya kuvutia. Walioana na baada ya harusi walikwenda honey moon Jangwa la Kalahari.
Yule kijana ghafla akawa alwatan, alizaa nae watoto. Walijenga nyumba na alimuuliza biashara anayotaka kufanya, interest yake ilikua kwenye magari. Alimnunulia malori kama matatu hivi na alianza biashara.
Kila mwaka walikwenda kiangazi Ulaya, mpiga debe alipendeza na pamba za summer time. Tabia halisi ya mtu unaijua akipata pesa. Mpiga debe alianza umalaya wa A class, wale waliomdharau akiwa shule alihakikisha wote anawavua pichu na kufanya nao mapenzi kinyume cha maumbile ndiyo ikawa starehe yake.
Kuna mmoja walikosana baada ya kumuahidi binti atamfungulia biashara na baada ya kumla alimdiss. Yule binti alikodisha mbabe na kumuomba wakutate guest house, alimpa kilevi yule kijana na kuwaambia wahuni wamle kama anavyopenda kula vibinti vya watu.
Walirusha picha kwa Mzungu, Mzungu alifungasha virago na kurudi kwao. Alipoteza mawasiliano mazima.