Nakukemea Freeman Mbowe

Sahihi kabisa
 
Makani alipomkabidhi Mbowe chama ulimuona jukwaani tena? Mtei alipomkabidhi Makani chana ulimuona amepanda jukwaani?

Nyerere kumpigia kampeni Mkapa sio reference ya kufuatwa na Mbowe..

Mnataka Mbowe huyu huyu mnayedai kalambishwa asali ndiyo amnadi tena Lissu? Nafikiri kichwani hampo sawa
 
Lakn tulikubaliana kuwa mbowe ni msaliti..
Tulikubaliana kuwa mbowe alilamba asali..
Tulikubaliana kuwa mbowe alipokea hela za abdul kuivuruga cdm..
Tulikubaliana kuwa mbowe hana madhara hata akiondoka..
Tulikubaliana kuwa mbowe anashrikiana na serikali kuhujumu harakati..
Tulikubaliana kuwa mbowe hashushi fedha matawini..
Tulikubaliana kuwa tunataka harakati na si siasa..
Tulikubaliana kuwa mbowe ni dhaifu kaishiwa mbinu..
Tulikubaliana kuwa mbowe ni tapeli wa kisiasa..
Tulikubaliana kuwa mbowe na genge lake hafai kushriki chochote katika siasa za chadema..
Tulikubaliana kuwa mbowe ni museveni...
Tulikubaliana mambo mengi mengi tu..

SASA MNAMTAKA AJE KUFANYA NINI TENA? AU NDO MNATAKA KUSEMA ANAWASHWA WASHWA?
 
Reactions: RMC
Mkuu umeandika nilichokuwa nakiwaza...Hawa wanaotaman Mbowe aongee bila shaka Wana maneno na mawazo ambayo wanataka Mbowe ayatamke.Akiongea tofauti wataibuka tena kusema anyamaze muda wake wa uongozi umeisha.
 
Reactions: RMC
Sikuwahi kudhani kuwa chama cha CHADEMA ni mkusanyiko wa wehu Tanzania mpaka wakati wa uchaguzi wao uliopita hadi sasa.

Hiki chama ndicho kinajidanganya kipewe dhamana ya kuongoza nchi!
 
Kwani msaidizi wake binafsi Ben Saanane alipopotea Mbowe alihangaika kumtafuta?

Kila mtu apambane na hali yake aisee! 😂
 
Lissu kaharibu kabisa siasa za upinzani.
 
Wewe umeongoza nini?
 
Weken maneno mengine akiba mzee siasa isije ikakushanganza
 
Nampongeza sana Mbowe kukaa kimya,Ukimya ni silaha ya maana sana kiseikolojia.Kila siku wanamwandika hapa ila huko panabomoka penyewe bila kuongea.Shikamoo FM
 
UWT watakupinga
 
Nampongeza sana Mbowe kukaa kimya,Ukimya ni silaha ya maana sana kiseikolojia.Kila siku wanamwandika hapa ila huko panabomoka penyewe bila kuongea.Shikamoo FM
Unamdanganya sana, maana watu wanaamini sasa kuwa huyo ni ccm B
 
Nampongeza sana Mbowe kukaa kimya,Ukimya ni silaha ya maana sana kiseikolojia.Kila siku wanamwandika hapa ila huko panabomoka penyewe bila kuongea.Shikamoo FM
uko sahihi gentleman
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…