Nakuchukia Baba yangu

Nakuchukia Baba yangu

Wakuu,

Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.

Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Mwehu wewe
 
Wakuu,

Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.

Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Itoshe kusema huna akili
 
Nimeshuhudia wamama wakifukuza baba watoto (tena muda mwingine kwa kushirikiana na wazazi wa mwanamke) kisha baadae kibao kinageuzwa eti baba huyo aliwatelekeza
 
Aisee, pole Sana kwa uliyopitia. Binafsi maisha ya mtaani nayafahamu hasa pale unapokosa mzazi. Ila naomba nikuulize Jambo, Je, umeshawahi kukaa na mzee ukamuuliza sababu ya yeye kufanya yale maamuzi magumu?
Wanawake wanawakwaza waume zao Sana kwenye ndoa, ndipo hapo mtu anaona ni Bora aamue kukaa pembeni. Wengi hawadadisi maovu ya mama zao, na huku SI haki.
 
Wakuu,

Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.

Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.

Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.

Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Kwa hiyo unatuandikia yote hayo unataka sisi tufanyeje?
Elewa kwamba Wewe hauko peke yako, waliolelewa na mama tu ni wengi sana. Halafu kuna wenye mama na baba, lakini baba mwenyewe ni kama hayupo au ni bora asingekuwepo.
Pambana hadi kieleweke kama au zaidi ya Mondi.
 
Usimchukie one way mkuu, ukifk miaka 35/45 kam utaelewa Inaweza kuw bab yako alisak aman yake nakulnd afya na uhai wake
 
Back
Top Bottom