Hakika Wana wa watu walio duniani wanashangaz sanaNaendelea kujifunza kupitia wengine
Hakika Wana wa watu walio duniani wanashangaz sanaNaendelea kujifunza kupitia wengine
Mwehu weweWakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Naunga mkono hojaUsimchukie bali jitenge naye na maisha aliyokupitisheni liwe funzo bora utakapojaaliwa kupata familia yako
Chuki kama hiyo huzaa kisasi.. Jitajidi uzao wako usirithi visasi
Itoshe kusema huna akiliWakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
watu wanachukia nyuzi zangu kana kwamba ni za kweli. Hii ni moja ya chai matata mno ambayo najivunia nayo humu jukwaani.Bado umamchukia baba yako mzazi mkuu?
watu wanachukia nyuzi zangu kana kwamba ni za kweli. Hii ni moja ya chai matata mno ambayo najivunia nayo humu jukwaani.Bado umamchukia baba yako mzazi mkuu?
Heri ya pasaka mkuuwatu wanachukia nyuzi zangu kana kwamba ni za kweli. Hii ni moja ya chai matata mno ambayo najivunia nayo humu jukwaani.
Kama unabisha waulize
Akina Nomadix Mallerina Binti Sayuni03
amina Bwana Yesu apewe sifa.Heri ya pasaka mkuu
Kwanini tena mkuu
Kwa hiyo unatuandikia yote hayo unataka sisi tufanyeje?Wakuu,
Nimelelewa na mama yangu kwa asilimia 90 mpaka hapa nilipo.
Baba yangu aliondoka nyumbani mwaka 2011 akamuacha mama yangu akiwa amejifungua wiki mbili akaenda kusikojulikana na mwanamke mwingine, akatuacha hakuna chakula wala matumizi yoyote ya mama na sisi wanafunzi, Ilibidi mama aanze vibarua ili tule na tusome mimi na dada yangu ninaemfuata.
Hata sisi tulipotoka shule ilibidi twende kwenye vibarua kwa ajili ya chakula na madaftari, sabuni na matumizi mengine.
Nimepitia mateso makuu sana mpaka nimefika hapa nilipo kwa sababu ya baba yangu! Siku nyingine nitawaletea mkasa mzima ila kifupi namchukia mno baba yangu!
Sio chai tu ni shamba la chai juu ya milimawatu wanachukia nyuzi zangu kana kwamba ni za kweli. Hii ni moja ya chai matata mno ambayo najivunia nayo humu jukwaani.
Kama unabisha waulize
Akina Nomadix Mallerina Binti Sayuni03