comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,226
- 5,948
“Haiwezekani siasa tuanze nayo kila wakati ukinywa chai siasa, ukienda ‘lunch’ siasa ukienda kwa mpenzi wako ni siasa haiwezekani kila siku ni siasa ina wakati, tujipange kwa ajili ya maendeleo ya watu wetu mambo hayo ndiyo yatabadilisha maisha,” amesema Rais Kenyatta.