1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Nimemsikia ndugu Mnyika J.J kwa niaba ya Chadema akitoa wito kwa rais Kikwete kuwasimamisha kazi D.c.i Chagonja na R.p.c Kamuhanda kupisha uchunguzi wa mauaji ya kikatili na ya kusikitisha ya mwandishi wa habari Daudi Mwangosi,pia ametoa rai polisi kuwakamata mara moja polisi saba ambao sura zao zinaonekana wazi kua walikua katika tukio la kumtesa hatimaye kumlipua na kumuua ndugu Mwangosi,hizi ndizo kauli na vitendo vinavyopaswa kutolewa na kuchukuliwa na viongozi makini,na si porojo kama za Nchimbi!polisi wahusika wa tukio ilo wako wazi kwenye picha,mpaka sasa hawajachukuliwa hatua yoyote na bado wapo kazini,unategemea kuna uchunguzi gani utakaofanyika bila kuvurugwa??hawa wahusika wana uwezo mkubwa sana wa kuvuruga ushaidi,na historia ya Kamuhanda inaeleweka tokea Songea,inashangaza mpaka sasa anadunda tu kazini bila kutiliwa shaka utendaji wake!kauli ya Nchimbi kumshangaa Mwema kutomkamata Dr Slaa na kumshangaa Dr Slaa kwa kutojisalimisha police ni ya kichekesho na inaonyesha ukosefu wa umakini wa viongozi wetu,sms ya Dr Slaa ina relate vp na mauaji ya polisi kwa Mwangosi?Dr Slaa ndio muuaji au polisi ndio walioua?kichekesho kingine hiki!