Mwanike? Bhanu ba kwenuku ba kuhalibulile ghete... Basukuma twitogilwe na tutena maisha ga chenekoo, nzogo nu DM lulu tuzenge ka uaminivu. Kwani dhambi kuzugela mbona unene nakabazughilaga aba girlfriend bhane na kutena shida yeyote?hmm natoaminigi banu ba ng'wenomu o nene! kukuzugela ndio jimela gete nyanda!
Batumbafu ghete benabo😂😂hahahhaaha ulibajali ng'wenekele ! banike binge no batogilwe bazuguma nyandone!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Mwanike? Bhanu ba kwenuku ba kuhalibulile ghete... Basukuma twitogilwe na tutena maisha ga chenekoo, nzogo nu DM lulu tuzenge ka uaminivu. Kwani dhambi kuzugela mbona unene nakabazughilaga aba girlfriend bhane na kutena shida yeyote?
bakina nani?Batumbafu ghete benabo😂😂
Ale BiaAnza mazoezi mwili uchoke.
Ikifika saa 4 achana na simu pc tv
Zima taa nenda chumbani
Fumba macho waza WWIII wewe ndio steringi
Jipatie Liberian girl mmojaa msupuuuu, awe anakulaza mapajani, hilo tatizo hutoliona tenaWeekend yaendaje waungwana?
Mimi ni mtu ninayependa majira ya usiku (night owl). Mda huo nakuwa more active dunia imetulia
Hii kitu Imenifanya vibaya sana professional wise ila siiachi.. Napenda sana usiku, hasa majira ya kuanzia saa 7.
Nikichelewa kulala usiku huwa nalala mchana, ila kwa kipindi cha hivi karibuni mambo yameenda kombo!
Ilianza kidogo ila sasa imekuwa intense.
Usiku nachelewa kulala, mchana na yenyewe silali, mwili una choka kabisa, na macho yana kuwa yanauma ila hayafumbi kulala
Wataalamu nisaidieni, nini kimenipata?
Hiyo ni code ukishindwa kuifungua basi tenaOk mkuu
YeahNa Fanya mda sio mrefu kabla ya game ya ivory coast! Nipate hata masaa manne ya usingizi
We mfariji tuTumia pombe kama sehemu ya kupumzisha akili.Ukishapata msosi unagonga bia zako mbili au tatu.Unaenda kulala.
Ubongo wako unaitaji madini na yanapatikana kwenye bia.
Ila usifanye pombe kama ulevi.
Nibule unene udinagonga laikiChuu mwanike, mbona wabizile gete ute Nsukuma hange?
Usifanye chenekoo mwanike, ninage location ikesho jumapili nize nale unene. Uledaga nateseke duhu mwanike?
Situmii kilevi chochoteUmejaribu bia
Njoo 😹Sina pesa, ya kuoa
Au unataka tuhudumiane Mshangazi?
Sasa jeNgosha nzima ulelomba laiki ghete?