dakika 5*5=25 umri wa jamaa,...unashindwa kumsifia? kamwambie baby unajua unahips kama tofali za kuchoma,.stori zitaanza
MPE mimba utapata cha kuongea naye
Habari zenu wana jamvi. Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi natarajia kumwoa mwakani. Sasa Iko hivi huwa nikikutana na huyu mpenzi wangu huwa nakosa cha kuzungumza nae tunaweza tukae hata dk 5 bila kusemeshana. Na ukizingatia mimi kwenye mapenzi nimeanza kujihusisha hivi karibuni baaada ya kumaliza chuo. Hivi wadau huwa mnazungumza nini na wapenzi wenu? Maana naona Ataanza kunichoka sasa.
Jina lake unalijua au Hujawahi kumuuliza?
Hahahahaaa hii JF hii?ivi hicho chuo ni cha hotel management au hukua na group discussions na wadada....
Mwambie baby nataka nikutumbue jipu kama magufuli