Muimbie kuch kuch hotae... huku mnakimbizana...
Umemaliza chuo kwa maana ya university au chuo gn!
hamna mapenzi hapo... mkipendana story huwa haziishi, mtaongea hata ujinga imladi mmeongea tu!!!
sa dak 5 zote mpo kimya kila mtu anawaza mchepuko wake...
huyu jamaa anacheza akili za watu. jukwaa la elimu kaandika kuhusu ajira za wahasibu kuwa yeye ni giaduate wa ud accounts ila eti hajui maana ya CPA. huku unaleta vibweka vingine hivi unaona raha gani hasa
Hahahaha lolMwambie tu I love you, akijibu mwambie tena yani ni I love you mwanzo mwisho
hamna mapenzi hapo... mkipendana story huwa haziishi, mtaongea hata ujinga imladi mmeongea tu!!!
sa dak 5 zote mpo kimya kila mtu anawaza mchepuko wake...
huyu jamaa anacheza akili za watu. jukwaa la elimu kaandika kuhusu ajira za wahasibu kuwa yeye ni giaduate wa ud accounts ila eti hajui maana ya CPA. huku unaleta vibweka vingine hivi unaona raha gani hasa
we acha mambo ya ajabu... ukose cha kuongea na mpenzi wako..?
basi siku mkikutana muulize anapenda nyimbo?akijibu muulize aina gani ya nyimbo? akijibu muulize anajua kuimba? yaani anachojibu ndio kinazaa swali jingine.
mpe nafasi naye akuulize swali kwa kuinesha kutoridhika na jibu lake..
tembea na mada mda mrefu huku ukiibasilisha taratibu kurudi kuongelea mapenzi kuona kama mnaendana interests
Mwambie tu I love you, akijibu mwambie tena yani ni I love you mwanzo mwisho