Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,242
Habari zenu wanaJF,
Kwa mlioko Mwanza, nina boti ndogo ambayo hutumika kwa shughuli za uvuvi pale ziwa Victoria, niliachiwa urithi na baba. Sasa mkataba wa aliyekodisha mara ya kwanza umeisha na sitaki umeisha na sitaki kuendelea nae maana kwa taarifa niizonazo, anautumia kwa magendo. Kama uko interested kukodisha ufanye biashara please niPM.
Kwa mlioko Mwanza, nina boti ndogo ambayo hutumika kwa shughuli za uvuvi pale ziwa Victoria, niliachiwa urithi na baba. Sasa mkataba wa aliyekodisha mara ya kwanza umeisha na sitaki umeisha na sitaki kuendelea nae maana kwa taarifa niizonazo, anautumia kwa magendo. Kama uko interested kukodisha ufanye biashara please niPM.