Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,299
- 9,797
UKAWA mnanifurahisha na mfumo wenu mnaoutumia. Au mfumo wenu ni ule wa kuwakata walioshinda kwenye kura za maoni na kuwaweka mnaowataka au mfumo wenu ni kuwauzia chama wenye hela na kukitawala.
Au mfumo wenu ni kuwafukuza waanzilishi wa chama na kuwapokea makapi ya CCM au mfumo wenu ni ule wa nyie kwa nyie wa kugombania majimbo?
Je mfumo wenu ni ule wa kuwasafsha watu ambao mlishakwisha watuhumu kuwa ni mafisad waliokubuhu yaani wako kwenye list ya mafisadi wa Taifa leo hii kisa wapo upande wenu mnawasafsha.
Nataka kujua kuwa je mfumo wenu ni ule wakukurupuka leo hii unasema hivi kwa mabaya kisa haukonacho lakini kesho ukipata unakisfia? Hivi nyie vigeugeu ndo mnataka mpewe nchi? yaani UKAWA hamueleweki.
Au mfumo wenu ni kuwafukuza waanzilishi wa chama na kuwapokea makapi ya CCM au mfumo wenu ni ule wa nyie kwa nyie wa kugombania majimbo?
Je mfumo wenu ni ule wa kuwasafsha watu ambao mlishakwisha watuhumu kuwa ni mafisad waliokubuhu yaani wako kwenye list ya mafisadi wa Taifa leo hii kisa wapo upande wenu mnawasafsha.
Nataka kujua kuwa je mfumo wenu ni ule wakukurupuka leo hii unasema hivi kwa mabaya kisa haukonacho lakini kesho ukipata unakisfia? Hivi nyie vigeugeu ndo mnataka mpewe nchi? yaani UKAWA hamueleweki.